FEATURE
on May 15, 2024
292 views 55 secs

Na Mwandishi Wetu DAR ES SALAAM———————————————Mapema leo, Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE) kimetia Saini Hati ya Mashirikiano (Memorandum of Understanding) baina yake na Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) yatakayoziwezesha Taasisihizo mbili kushirikiana katika mambo mbalimbali hususan suala la utoaji elimu ya usalama na afya kwa wanachama wa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on May 15, 2024
290 views 2 mins

Na Beatus Maganja Mkazi wa Kijiji cha Kasenyi kilichopo wilaya ya Sengerema Mkoani Mwanza Bw. Obeid Francis (44) amenusurika kuliwa na mnyamapori aina ya mamba baada ya kuikumbuka na kuitumia elimu ya kuepuka madhara yanayoweza kusababishwa na wanyamapori wakali na waharibifu inayoendelea kutolewa na Maofisa wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA maeneo […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on May 14, 2024
209 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA CHINA MAKUMBUSHO YA CHINA NA TANZANIA KUSHIRIKIANA Na Mwandishi Wetu-Beijing Makumbusho ya Taifa  ya China na Tanzania zimekubaliana  kushirikiana katika kubadilishana uzoefu, teknolojia na kuwa na maonesho ya pamoja  kwa lengo  la kuhakikisha kuwa huduma za makumbusho zinakuwa na faida kwa pande zote mbili za nchi hizo. Makubaliano hayo yamefikiwa katika […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on May 14, 2024
316 views 34 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA CHINA Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) akizungumza na Rais wa Kampuni ya Utalii ya Yingke (Yingke Group), Mei Xiang Rong kuhusu kushirikiana katika Sekta ya Utalii hasa utangazaji utalii, utalii wa mikutano pamoja na kuwekeza nchini Tanzania katika Sekta hiyo kwenye kikao kilichofanyika Ubalozi wa Tanzania nchini […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on May 14, 2024
266 views 3 mins

Na. Jeshi la Polisi, Dar es Salaam. KAMISHNA wa Utawala na Menejimenti ya Rasilimali watu, CP. Suzan Kaganda Mei 13, 2024, Jijini Dar es Salaam, amefungua mafunzo ya siku mbili ya namna ya uwasilishaji wa nyaraka za mafao kupitia mfumo wa TEHAMA kwa Maafisa Wanadhimu Makao Makuu, Mikoa na Vikosi pamoja na Wasimamizi na Watendaji […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on May 14, 2024
252 views 4 mins

Rais Samia atunukiwa tuzo kwa mchango wake Sekta ya Afya NIMR yapongezwa kwa ushawishi wa utafiti kimataifa Serikali yatoa kipaumbele tafiti za kisayansi Vituo vya utafiti vyaaswa kushirikiana kuboresha utafiti Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati  Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa Serikali inatambua […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on May 14, 2024
320 views 0 secs

Meya mstaafu wa kata ya Ubungo wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Boniface Jacob amesema katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Nchi nzima hivi karibuni wamejiandaa kushinda mitaa 48 ya jimbo la ubungo. Boniface afunguka hayo wakati akikabidhi mifuko ya simenti na vifaa vingine vya ujenzi wa ofisi ya Chama katika kata […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on May 13, 2024
276 views 37 secs

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo *Mei 13, 2024* amekabidhi Mwenge wa Uhuru 2024 Mkoa wa kusini Pemba-Zanzibar Mwenge wa Uhuru katika Mkoa wa Dar es Salaam ulipokelewa *Mei 8, 2024* ukitokea Mkoa wa Pwani ambapo Mkoa wa Dar es Salaam umekimbiza Mwenge wa Uhuru katika umbali wa *KM 427.78* […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on May 13, 2024
464 views 4 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA MARA Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa  (JKT) Meja Jenerali Rajabu Mabele ameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuliwezesha Jeshi hilo kutekeleza majukumu yake. Meja Jenerali Mabele ameyasema hayo wakati akihitimisha zoezi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on May 13, 2024
192 views 3 mins

Waipongeza TAWA kwa ushirikishaji Na. Beatus Maganja Kufuatia changamoto ya wanyamapori wakali na waharibifu nchini, wananchi wa  Mikoa ya Kanda ya Ziwa hususani Shinyanga na Mwanza  wamekubali na kuahidi kushirikiana na Serikali kukabiliana changamoto hiyo ili kupunguza adha kwa wananchi hasa wale wanaoishi pembezoni mwa hifadhi. Wakizungumza na waandishi wa habari katika ziara iliyofanywa na […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...