Na Madina Mohammed WAMACHINGA Jitahidi za Serikali za kutatua migogoro ya matumizi ya ardhi baina ya Hifadhi na wananchi zinaendelea kuzaa matunda baada ya kutatua mgogoro uliodumu zaidi ya miaka 20 baina ya Pori la Akiba Liparamba lililopo Mkoani Ruvuma na vijiji vitano vinavyozunguka hifadhi hiyo. Hayo yamebainika Mei 28, 2024 katika ziara ya kuelezea […]
Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Mkuu wa mkoa wa mkuu wa Dar es salaam ALBERT CHALAMILA amemtaka kufanyika kwa tathmini ya zaidi ya shilingi billion 5 Ambazo zimetolewa katika ujenzi wa kutoa cha afya. Cha mchikichini kilichopo ILALA kutokana na kutoridhishwa ujenzi wa miradi huo Agizo hilo Amelitoa katika ziara maalumu ya kukagua […]
Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam ALBERT CHALAMILA ameziagiza mamlaka za Usimamizi wa maji safi DAWASA, DART pamoja na TARURA kuboresha miundombinu ya maji taka pamoja na ujenzi ujenzi wa barabara katika mtaa wa lindi kata ya gerezani wilaya ilala jijini Dar es salaam Ameyasema hayo Leo […]
Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila Atoa agizo kwa wale ambao walionganisha mfumo wa Maji taka kwenye mifumo ya maji safi PSSSF na Balozi wa Canada wakabomoe wenyewe ndani ya wiki Moja Ameyasema hayo Leo Tarehe 29 Mei 2024 Mkuu wa mkoa wa Dar es […]
Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Mamlaka ya Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA imewaomba waandishi wa habari za Mtandaoni (digital online) kuhamasisha wananchi kuwa na desturi ya kudai risiti pale wanapofanya manunuzi ili kusaidia kuwapata wafanyabiashara wanaokwepa kulipa kodi. Rai hiyo ameitoa leo Jijini Dae es salaam Mei 29,2024 Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Mapato TRA Elimu […]
Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Dk Samia Suluhu Hassan leo kupitia Katibu Mkuu wa chama hicho Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi amekipatia chama wilaya ya Manyoni zaidi ya shilingi millioni 18 kwa ajili ya kuezeka jengo lake la kitega uchumi. Katibu Mkuu wa CCM alitangaza hayo mbele ya Kamati […]
Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) wamekutana na waandishi wa habari wa mtandaoni katika Semina waliyoiandaa kwa kushirikiana na Jukwaa la Wanahabari wa mtandaoni (JUMIKITA) leo Mei 29 ,2024, Imefanyika katika kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es salaam ” TRA ni Taasisi ya […]
Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA -Mamia ya Wananchi wa Jimbo la Ukonga wafurika kutoa kero zao -Akemea vikali tabia za baadhi ya viongozi kujipatia fedha kwa kuwatapeli watu wa kipato cha chini Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Mei 28,2024 akiwa katika Mkutano wa hadhara Jimbo la Ukonga […]
Na Mwandishi wetu WAMACHINGA y Waziri wa nchi ofisi ya Waziri Mkuu kazi vijana, ajira na wenye ulemavu, Deogratius Ndejembi ametoa rai kwa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania TUCTA kuweka mipango madhubuti ya kuwafikia na kuwapa elimu wafanyakazi wanaofanya kazi katika sekta isiyo rasmi waone umuhimu wa kujiunga katika vyama vya wafanyakazi ili wapate […]
Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA MKUU wa mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila Amesema barabara nyingi zime athirika wakati wa mvua na hii inatokana na barabara zilizotengenezwa Kwa uzembe Chini ya kiwango na zengine hazina mitaro na ujenzi wa wananchi waliojenga umeziba njia ya maji Hayo ameyasema Leo Tarehe 28 Mei 2024 […]