FEATURE
on Jun 28, 2024
281 views 4 mins

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Amtaka Meneja kuhakikisha  anawasimamia vema mkandarasi Mradi kuleta tija kwenye upatikanaji wa Umeme Kishapu, Shinyanga Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu Wizara ya Nishati, Mhandisi Innocent Luoga ameridhishwa na hatua mbalimbali za maendeleo katika upatikanaji wa huduma ya Umeme mkoani  Shinyanga huku akimsisitiza mkandarasi mradi wa umeme wa Jua wilaya ya […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jun 27, 2024
243 views 3 mins

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Asema ni chanzo cha mmomonyoko wa maadili* Ahusisha na ukatili wa kijinsia na mauaji ya Albino* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Watanzania kuzingatia utamaduni wao na katu wasiendekeze utamaduni wa kigeni kwan kwa kufanya hivyo ni sawa na kuuza uhuru wao kama nchi. Dkt. […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jun 27, 2024
280 views 3 mins

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA DAR ES SALAAM SERIKALI imesema itaendelea kuboresha mazingira ya kisera na kisheria ili kuimarisha zaidi Sekta ya Habari nchini. Hayo yomebainishwa leo Juni 27, 2024 jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Thobias Makoba akifungua kongamano la Uhuru wa Vyombo vya Habari […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jun 27, 2024
252 views 32 secs

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Chuo Cha Bahari Dar es salaam DMI Kwa kushirikiana na chuo Cha Bahari Cha Ghana wameandaa kongamano la Tatu ambalo linalotarajia kufanyika Julai 4 na 5 Katika ukumbi wa kimataifa wa Julius Nyerere JNICC Jijini Dar es salaam Ameyasema hayo Leo Tarehe 27 Juni 2024 Mkuu wa chuo […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jun 27, 2024
247 views 35 secs

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Wajadili  Mradi wa  Maboresho Sekta ya Nishati  _(Energy Sector Reform  Programme) Serikali yaeleza ilivyotimiza masharti ya EU ili kupata fedha za Maboresho ya Sekta ya Nishati Dar es salaam Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mha. Felchesmi  Mramba leo 26 Juni, 2024,  amekutana na kufanya mazungumzo na  Ujumbe kutoka  Umoja wa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jun 26, 2024
229 views 2 mins

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA DAR ES SALAAM -Asema Ofisi ya CAG na Wakurugenzi wasikimbiane -Asisitiza umuhimu wa kuwa mahiri katika kuzuia hoja na sio kujibu hoja -Apongeza Manispaa ya Ubungo na Kinondoni kwa kupata Hati safi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Juni 26,2024 akiwa katika muendelezo wa kushiriki mabaraza […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jun 26, 2024
283 views 25 secs

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA ARUSHA Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Makonda, amebainisha kuwa tangu kuanzia kwa kambi ya madaktari bingwa na wabobezi mkoani humo siku ya tarehe 24 Juni, 2024 na hadi kufikia jana tarehe 25 Juni, 2024 tayari jumla ya watu 6434 wamehudumiwa vema na kupatiwa na kusema kulingana na takwimu za […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jun 26, 2024
304 views 2 mins

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA DAR ES SALAAM Ni kuhusu miradi inayotekelezwa na wizara kupitia TPDC DKt  Biteko afungua rasmi, aishukuru PAC kwa mchango wao sekta ya Nishati Waitaka TPDC kuwekeza kwa kutumia fedha za ndani na sio kutegemea wafadhili pekee    Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko ameipongeza kamati ya […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jun 26, 2024
274 views 2 mins

Na Happiness Shayo DODOMA Tanzania imeweka rekodi kubwa ya Kimataifa kwa miezi  ya Januari hadi Machi 2024 kwa  kushika nafasi ya 5 kwa nchi ambayo imeweza kuvutia watalii zaidi duniani na nafasi ya kwanza Barani Afrika kwa kuvutia watalii kimataifa, kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Utalii Duniani (UN Tourism). Hayo yamesemwa na Waziri […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...