FEATURE
on Aug 4, 2024
230 views 4 mins

Veronica Simba na Paulus Oluochi – WMA* Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi kutoka Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA), Albogast Kajungu, amesema WMA ina mchango mkubwa katika sekta ya kilimo hususani katika mazao ya kimkakati ambayo ni korosho, ufuta, kahawa, tumbaku na pamba. Amebainisha hayo Agosti 3, 2024 wakati akizungumza na waandishi wa habari katika […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 4, 2024
268 views 2 mins

Na Richard Mrusha Dodoma NAIBU Waziri wa Kilimo David Silinde amewaasa wadau wa masuala ya kilimo kuiga mfano wa Pass leasing wa kutoa matrekta  kwa wananchi 9 ambayo yanakwenda kurahisisha kilimo kwa wananchi hao. Akizungumza katika banda la Agricom ambako zana hizo zilikabidhiwa kwa walengwa wakiwemo wanawake na vijana ambao ndiyo nguvukazinya ya Taifa Silinde […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 3, 2024
357 views 2 mins

Na Madina Mohammed WAMACHINGA DAR ES SALAAM: Katika ripoti ya kina, Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Temeke Bw Holle Makungu, alifichua kuwa Taasisi hiyo ilikagua miradi yenye thamani ya jumla ya bilioni 28/- katika kipindi cha miezi mitatu. Alisema ukaguzi huo ulihusisha miradi sita ya Manispaa ya Temeke yenye thamani […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 3, 2024
239 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA *Apinga matokeo mahakamani ALIYEKUWA urais wa Chama Cha Mawakili Tanganyika (TLS), Wakili Sweetbert Nkuba ametangaza kupinga matokeo mahakamani yaliyompa ushindi Wakili Boniface Mwabukusi huku akitaja sababu mbalimbali anazodai zimehujumu uchaguzi huo. Akizungumza jana jijini Dodoma, Wakili Nkuba alisema hakubaliani na matokeo hayo na anapinga  matokeo yaliyotangazwa na Kamati ya uchaguzi ya […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 2, 2024
182 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Prof. Ikingura aongoza Kikao cha 19 Bodi ya GST Asisitiza kutangaza bidhaa na huduma zinazotolewa na GST Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) imeelekezwa kuendelea kuitangaza bidhaa inayoizalisha ya vyungu vya kuyeyushia sampuli za  miamba na udongo wenye madini ya dhahabu (crucibles) ili kuongeza makusanyo ya ndani na […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 1, 2024
284 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Dkt. Biteko amwakilisha Rais Samia kufungua Mkutano Mkuu 2024* Awataka Mawakili kuchaguana kwa haki* Wananchi zaidi ya 7358 wamefikiwa na TLS kupata huduma* TLS wampongeza Rais Samia kuundwa kwa Tume ya Haki Jinai* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) na […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 1, 2024
25 views 4 mins

Na Madina Mohammed PWANI RUFIJI Ofisi ya mkuu wa Wilaya ya Rufiji imewashukuru TMDA Kwa kuwapatia msaada wa dawa na dawa hizo kusambazwa Katika zahanati zilizopo katika Halmashauri ya utete Ili wananchi wapate huduma za dawa bila ya kusita Amesema Tunawashukuru uongozi wa TMDA Kwa kuona umuhimu wa kutuletea dawa kama Wilaya,sisi kama Wilaya tunalojukumu […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jul 31, 2024
209 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeongeza udahili wa wanafunzi wa Taaluma za Afya ngazi ya kati, kutoka wanafunzi 20,030 mwaka 2020 hadi kufikia wanafunzi 25,390 ili kuounguza changamoto za upatikanaji wa watumishi wa kada hiyo. Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema hayo leo Julai 31, 2024 wakati akitaja […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jul 31, 2024
183 views 58 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali itaendelea kutoa vibali vya ajira kwa kila Mwaka katika Sekta ya Afya ili kupunguza changamoto ya uhaba wa watumishi kutokana na maendeleo katika Sekta hiyo. Rais Dkt. Samia amesema hayo leo Julai 31, 2024 wakati akifunga Kongamano […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jul 31, 2024
219 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Ziara ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, inayoendelea katika mikoa ya Kusini, akianzia Mtwara na sasa yuko Lindi, imewahamisha viongozi waandamizi wa vyama vya ACT Wazalendo, CUF na Chadema walioamua kujiunga CCM leo, wakisindikizwa na mamia ya wanachama waliorejesha kadi zao za vyama vya […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...