FEATURE
on Sep 4, 2024
165 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA WAZIRI MKUU  Kassim Majaliwa amesema Serikali itaendelea kujiimarisha kidiplomasia na itaongeza nguvu zaidi ili kuwawezesha Watanzania wengi kupata fursa mbalimbali katika jumuia za kimataifa. Amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imefanikisha kuimarisha ushirikiano baina ya nchi washirika na sasa mafanikio yanaonekana. “Rais wetu […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 2, 2024
393 views 2 mins

Na.Joyce Ndunguru, Morogoro. Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii anaeshughulikia Maliasili, Kamishna wa Polisi Benedict Wakulyamba asisitiza matumizi ya sheria na kanuni katika utekelezaji wa shughuli mbalimbali za uhifadhi. Kamishna Wakulyamba ameyasema hayoleo Septemba 1, 2024 wakati wa ziara ya kikazi aliyoifanya katika ofisi za Makao Makuu ya TAWA yaliyopo Mkoani Morogoro kwa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 2, 2024
441 views 3 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Serikali Kupitia wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini TARURA imefanikiwa kuongeza mtandao wa Barabara za Wilaya kutoka kilomita 108,946,19 Hadi kilomita 144,429,77 Mtendaji mkuu wa TARURA Mhandisi Victor Seff Ameyasema hayo Leo September 2,2024 jijini Dar es salaam Katika kikao kazi Cha wahariri na waandishi wa habari […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 2, 2024
238 views 21 secs

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mohamed Mchengerwa amesema kuanzia sasa hataki kusikia changamoto zinazohusiana na Usafiri wa Mabasi yaendayo kasi zikiwemo changamoto za abiria kukaa muda mrefu katika vituo wakisubiri usafiri ambapo amemuagiza mtendaji mkuu wa DART kushirikiana na UDART kuhakikisha mabasi mapya ya mwendo kasi yanafika […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 1, 2024
466 views 4 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Miaka 60 ya kuanzishwa kwa Hifadhi ya Taifa Mikumi imeleta mafanikio makubwa katika Sekta ya Utalii nchini yakichangiwa na jitihada zinazofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Hayo yamesemwa  leo Agosti 31,2024 na Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 1, 2024
243 views 2 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM Waziri wa Viwanda na Biashara pia ni Mbunge wa Jimbo la kisarawe mkoani pwani Mh.Suleiman Jafo, amewataka  Wananchi wa Jimbo la kisarawe na watanzania kwa ujumla kujitokeza katika kujiandikisha kwenye Daftari la wapiga kura Ili kumchagua kiongozi imara atakaewaletea maendeleo Katika majimboni kwao Ameyasema hayo Tarehe 31 Agosti 2024 […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 31, 2024
375 views 42 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Huduma za kijamii zaendelea kuboreshwa Songosongo* Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema wananchi wanaoishi katika maeneo ambayo yana miradi mikubwa ya nishati watanufaika na miradi hiyo kupitia upatikanaji wa huduma mbalimbali. Mhe. Kapinga amesema hayo  Agosti 30, 2024 bungeni jijini Dodoma alipokuwa akijibu swali la Mhe. Ally Kasinge Mbunge […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 30, 2024
318 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa watoa huduma za afya wa nchi wanachama wa kanda ya Afrika Mashariki kuondoa vikwazo vinavyozuia wagonjwa wanaotafuta matibabu ndani ya ukanda wa Afrika Mashariki. “Hatua hii ni kwa manufaa ya wananchi wetu na kwa uchumi wa kikanda na ukuaji wa utalii tiba.” Ametoa wito […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 30, 2024
210 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Ni kutokana na Serikali kuweka ruzuku katika kila uniti* Aelezea ruzuku inayotolewa na Serikali kufikisha umeme visiwani* Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema gharama ya kununua umeme nchini ipo chini ukilinganisha na Nchi nyingine za Afrika Mashariki. Hii ni kutokana na Serikali kuweka ruzuku kwenye gharama ya mwananchi kununua […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 30, 2024
263 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Wageni zaidi ya 800 kutoka Chama cha oWafanyakazi wa Serikali na Afya (TUGHE) wamefanya ziara ya kihistoria katika eneo la hifadhi ya Ngorongoro jana tarehe 29 agosti, 2024. Ziara hiyo ambayo imefanyika baada ya wajumbe wa TUGHE kumaliza semina iliyofanyika jijini Arusha kuanzia tarehe 26/08/2024  ina lengo la kuwaleta pamoja waajiri […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...