FEATURE
on Sep 11, 2024
279 views 52 secs

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Taasisi isiyo ya kiserikali ya Rihab Health imeandaa Kongamano la pili la Utengamao wa akili (Rehabilitation  summit) linalokusudia kuendeleza ajenda ya utengamao wa Afya ya akili nchini lenye kauli mbiu ya “kuendeleza ajenda ya utengamao,kuimarisha mifumo ya Afya nchini. Mkurugenzi mtendaji wa shirika hilo Remla Shirima amezungumza na […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 11, 2024
269 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -DODOMA WAZIRI Mkuu  Kassim Majaliwa amesema suala la uhifadhi wa mazingira liwe ajenda ya Kitaifa na jukumu la kila mmoja kuanzia ngazi ya familia mpaka Taifa. Kauli hiyo aliitoa jana wakati akifunga mkutano maalum wa viongozi na wadau wa mazingira ulioitishwa ili kujadili mwenendo wa mazingira nchini, mkutano ambao ulifanyika kwenye […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 10, 2024
243 views 3 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameelekeza Watanzania kunufaika na rasilimali zinazochimbwa katika maeneo yao kwa kutoa fursa mbalimbali  ikiwemo  ajira. Hayo yameelezwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo Septemba 10, 2024 mkoani Mtwara katika hafla ya kukabidhi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 10, 2024
327 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA MAMLAKA  ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imekamata kilogramu  1,815 za dawa za kulevya aina ya skanka katika operesheni iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Ukamataji huo uliohusisha watuhumiwa watano wanaodaiwa kuhusika na dawa hizo umefanyika kupitia operesheni  iliyofanyika Agosti 28 hadi Septemba 2 mwaka huu katika maeneo ya […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 10, 2024
273 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Ashuhudia makabidhiano leseni  ya uendelezaji Gesi Asilia Kisima cha Ruvuma* Azitaka TPDC na ARA Petroleum kutoa kipaumbele kwa wazawa katika ajira* Kitalu cha Ruvuma kuzalisha Gesi futi ujazo trilioni 1.6* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema Serikali itaendelea kuvutia wawekezaji katika tafiti na uchimbaji wa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 10, 2024
264 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mradi wa Kupambana na Ujangili na Biashara Haramu ya Wanyamapori (IWT) ulio chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii, umekabidhi mizinga  ya kisasa 300, vifaa mbalimbali vya kufugia nyuki na kusindika asali  vyenye gharama ya shilingi milioni 50 kwa Jumuiya za Hifadhi ya Wanyamapori (WAGA). Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 9, 2024
213 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA TPDC yatekeleza maagizo ya Dkt.Biteko Msimbati* Wananchi kuanza kunufaika na uwepo wa kituo cha Afya na Polisi* Kapinga asisitiza ushiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa* Naibu Waziri Nishati, Mhe.  Judith Kapinga amesema kuwa dhamira ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ni kuhakikisha wananchi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 9, 2024
328 views 57 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mradi wa Kuboresha Usimamizi wa Maliasili na Kukuza Utalii Kusini mwa Tanzania (REGROW) umenufaisha kikundi wa  kijamii cha COCOBA Chekereni Mikumi Mkoani Morogoro kwa kutoa shilingi milioni 28.8  huku wakimshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kujali vikundi vya kijamii ili kujikwamua kiuchumi. Akizungumza […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 8, 2024
213 views 4 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Aiasa Jamii  Kuwatunza Wazazi na Kuwaombea Dua* Asisitiza Upendo Miongoni mwa Wanajamii* Watanzania Wasisitizwa Kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa* *Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameiasa jamii kuwa na utaratibu wa  kuwatunza na kuwajali  wazazi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 8, 2024
230 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ABU DHABI Wawekezaji waonesha nia kuwekeza kwenye biashara ya uwindaji wa kitalii na hoteli nchi Maonesho ya Kimataifa ya Uwindaji wa Kitalii yanayojulikana kwa Jina la “Abu Dhabi International Hunting and Equestrian Exhibition – ADIHEX 2024” yamezaa matunda kufuatia idadi kubwa ya wawekezaji waliohudhuria katika maonesho hayo yaliyoanza tarehe 31 Agosti […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...