FEATURE
on Oct 12, 2024
159 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu MWANAHABARI Ni Eyasi-Wembere, Songo songo Magharibi na Mnazi Bay* Jotoardhi nayo yatajwa Kongamano la Mafuta Afrika* Kamishna Shirima atoa uhakika wa miundombinu ya gesi asilia Tanzania* Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati Dkt. James Mataragio amewakaribisha wawekezaji kuingia ubia na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kwa ajili ya utafutaji […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 12, 2024
225 views 4 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -DAR/MIKOANI WAKATI zoezi la uandikishaji wapiga kura likianza kwa siku ya jana nchini hali ya mwitiko wa wananchi imekuwa nzuri huku katika baadhi ya maeneo machache wananchi wajitokeza kwa suasua. Hatua hiyo ni sehemu ya maandalizi ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji unaoatarajiwa kufanyika Novemba 27,  mwaka huu. […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 11, 2024
126 views 4 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amewataka viongozi wa CCM kutenda haki kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Novemba mwaka huu. Akizungumza na viongozi na wanachama mbalimbali wa CCM Wilaya ya Kahama leo, tarehe 10 Oktoba 2024, ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake ya kikazi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 10, 2024
181 views 4 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Ni kupitia Mkutano wa Wiki ya Mafuta Afrika* Aeleza jinsi Sheria za Tanzania zinavyowiana na mazingira ya uwekezaji* Asema Tanzania ina miundombinu wezeshi ya usafirishaji bidhaa za mafuta na Gesi Asilia* Aeleza miradi inayotoa hakikisho la uwepo wa umeme wa kutosha* Asisitiza Nishati Safi ya Kupikia ni ajenda ya nchi* Naibu […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 10, 2024
231 views 14 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 10, 2024
386 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA REA yapongezwa kwa elimu ya nishati safi ya kupikia Yaendelea kugawa majiko banifu na mitungi ya gesi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa ruzuku ya asilimia 50 ya bei kwa mitungi ya gesi inayosambazwa nchini na Wakala wa Nishati Vijijini (REA). Hayo yamebainishwa leo […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 10, 2024
158 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu Wanaoishi na VVU wajiunga Bima ya Afya (NHIF) kupitia miradi ya TARURA Ludewa,Njombe Vikundi vya Kijamii vinavyofanya kazi za ujenzi na matengenezo madogo madogo ya miundombinu ya barabara wilayani Ludewa wameishukuru Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kwa kuwapatia kazi ambazo zimeweza kuwainua kiuchumi. Wakiongea wakati wa ziara ya Ujumbe […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 10, 2024
142 views 59 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Jana oktoba 9,2024 Umoja wa Shirikisho la Wamachinga Tanzania SHIUMA umezindua mpango kazi (Operesheni ) ya kampeni ya “Mama Tuvushe 2025 “ Wamezindua mpango kazi huo (Operesheni )utakaofanyakazi nchi nzima kuzunguka kutokana na maadhimio ya kampeni hiyo,Yote hayo yamejiri wakati wa kikao chao walichokifanya leo mkoani Iringa mbele ya Wamachinga waliojitokeza […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 10, 2024
114 views 37 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -DAR ES SALAAM USHIRIKIANO  kati ya Taasisi ya Adani Foundation na IITM Zanzibar kwa pamoja wamekubaliana  katika kuboresha elimu ya juu nchini katika kuunda fursa kwa vijana, hasa wale wanaotoka katika familia zenye hali duni. Kwa kuanzisha programu wezeshi  ya Sayansi ya Takwimu, Akili Bandia na Miundo ya Baharini, huu ni […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 9, 2024
168 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Dkt. Philip Mpango ameweka jiwe la msingi mradi wa ujenzi na upanuzi wa Kiwanja cha ndege Tabora na kuipongeza Wizara ya Ujenzi wa kazi wanayoifanya katika mradi huo. Akizungumza leo tarehe 9 Octoba 2024 mara baada ya kukagua na kuweka jiwe […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...