FEATURE
on Oct 22, 2024
225 views 10 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Katika Kipindi cha Miezi mitatu ya robo mwaka wa fedha 2024/2025 bandari ya Tanga ilipangiwa kukusanya mapato kiasi cha Shilingi bilioni 11 ambapo mpaka mwezi September wamevuka lengo na kukusanya kiasi cha Shilingi bilioni 18.6. Mafanikio ya Maboresho ya bandari ya Tanga yanaendelea kuonekana kutokana na ongezeko la Meli zinazoitumia bandari […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 22, 2024
208 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Tanganyika, Katavi Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imekamilisha ujenzi wa vivuko na daraja la Mto Mnyamasi lenye urefu wa mita 20 pamoja na kufungua barabara ya Kambanga-Ifinsi yenye urefu wa Kilomita 37 inayounganisha vijiji vya Ifinsi, Kambanga na Bugwe vilivyopo kata ya Tongwe Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 22, 2024
160 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Yakoshwa na ETDCO kuongeza ufanisi wa kazi* Kapinga asema Serikali itaendelea kuboresha upatikanaji wa Nishati safi ya Kupikia* Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeeleza kuridhishwa kwake na majukumu yanayotekelezwa na Wizara ya Nishati na Taasisi zilizo chini yake katika kuiimarisha Sekta ya Nishati nchini. Pongezi hizo zimetolewa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 21, 2024
271 views 2 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mohamed Nchengerwa amesema wananchi waliojiandikisha kupiga kura kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27, 2024 wamekuwa wengi zaidi kuliko wale wa uchaguzi uliopita uliofanyika mwaka 2019. Akizungumza na waandishi wa habari mkoani […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 21, 2024
208 views 4 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Lahusisha nchi 21 na Washiriki 800* Kuangazia Sera, fursa za masoko na uwekezaji* Kamishna Luoga asema lengo ni kuendeleza nishati ya Jotoardhi nchini* UNEP yaipongeza Tanzania kwa maandalizi* Kongamano la 10 la Jotoardhi Afrika (ARGeo-C10) limeanza kwa mafanikio jijini Dar es Salaam ambapo Wataalam takriban 800 kutoka 21 duniani wameshiriki. Hayo […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 21, 2024
156 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa leo Oktoba  16, 2024 amemwakilisha Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika maziko ya Mzee Jeremiah Kusiluka ambaye ni Baba mzazi wa Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka yaliyofanyika katika kijiji cha Madihani, Makete mkoani Njombe. Akitoa salamu za Mheshimiwa Rais Dkt. Samia, Waziri Mkuu amesema  […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 19, 2024
175 views 14 secs

Na Mwandishi Wetu Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama imetembelea na kukagua ujenzi wa jengo la kituo cha Jeshi la Zimamoto na Uokoaji lenye thamani ya Tsh. bilioni 1.9 katika Mji wa Serikali Mtumba, Dodoma. Akizungumza baada ya kukagua mradi huo Mwenyekiti wa Kamati hiyo ya Bunge Mhe.Vita Kawawa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 18, 2024
266 views 32 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameelekeza kurejeshwa kwa Eneo la takribani Mita za Mraba 7503 na Shilingi Milioni 500 zilizokuwa mali ya Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Arusha, Parokia ya Mtakatifu Theresia wa Mtoto wa Yesu Linalopatikana Jijini Arusha. Kwaniaba ya Mhe. Rais Samia […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 17, 2024
178 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Zaidi ya bilioni 13 zaboresha miundombinu vijijini Ludewa,Njombe Bunge wa Ludewa (CCM) Mhe. Joseph Kamonga  ameipongeza Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA)  kwa kutenga asilimia thelathini ya fedha kwaajili ya kuviwezesha vikundi kazi vya kijamii  ambavyo vinajishughulisha na matengenezo madogo madogo ya miundombinu wilayani hapo. Pongezi hizo amezitoa mbele […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 17, 2024
250 views 2 mins

Na MADINA MOHAMMED WAMACHINGA Serikali inatarajia kutumia Shilingi Bilioni 600 kwa ajili ya kugharamia Miradi mitatu  itakayoboresha huduma ya usafirishaji kwa njia ya maji mkoani Kigoma  na maeneo yanayozunguka. Akizungumza  wakati wa kufungua  mkutano wa pili wa kimataifa wa lojistiki na Uchukuzi,Waziri wa Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa  amesema miradi hiyo ni pamoja na ujenzi wa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...