FEATURE
on Oct 29, 2024
215 views 3 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, ametoa wito kwa wataalamu wa ndani kuchangamkia fursa zinazotokana na miradi mikubwa ya ujenzi nchini. Akizungumza  Wakati akimuwakilisha Naibu waziri mkuu na waziri Wa Nishati na Madini Doto Biteko katika Kongamano la Tano la Bodi ya Usajili wa Wakadiriaji Majenzi na […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 29, 2024
121 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete ameshiriki Mkutano wa Bodi wa Taasisi ya Kimataifa inayojishughulisha na Masuala ya Maji Barani Afrika (Global Water Partnership – Southern Africa and Africa Coordination Unit – GWPSA – Africa) uliofanyika tarehe 29 Oktoba, 2024, jijini Pretoria, Afrika Kusini. Rais Mtaafu Dkt. Kikwete ni Mwenyekiti wa Bodi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 29, 2024
217 views 4 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mwanza. Serikali ya Tanzania imewekeza Sh60 bilioni kuboresha bandari tatu kuu za Ziwa Victoria. Meneja wa Bandari za Ziwa Victoria, Erasto Lugenge aliwaambia wandishi wa habari waliotembelea bandari za Bukoba na Kemondo kuwa uwekezaji huu mkubwa katika bandari za Kemondo, Bukoba na Mwanza Kaskazini unatarajiwa kuboresha ufanisi na uwezo wa huduma […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 29, 2024
139 views 59 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Asisitiza dhamira ya Serikali ni kupeleka umeme maeneo yote* Naibu Waziri Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema Vijiji vyote 76 vya Jimbo la  ya Newala Vijijini Mkoa wa Mtwara vimefikiwa na huduma ya umeme kwa umbali wa kilometa 1. Mhe. Kapinga ameyasema hayo leo Oktoba 29, 2024 bungeni jijini Dodoma  wakati akijibu […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 29, 2024
108 views 8 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Ili kuhakikisha Mamlaka  ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inafanya kazi zake kwa ufanisi, Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu imekabidhi  rada mbili za hali ya hewa zilizopo Mwanza na Dar es salaam. Rada hizo awali zilikuwa zinafanyiwa uboreshaji na kampuni ya Enterprises Electronic Corporation (EEC) […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 29, 2024
101 views 22 secs

Na Mwandishi Wetu Ni ya upelekaji umeme kwenye vijiji, vitongoji na Nishati Jadidifu* Yawa kinara matokeo ya tathmini ya utendaji kazi kwa Taasisi za Wizara ya Nishati* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameupongeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kufanya vizuri katika utekelezaji wa majukumu yake ikiwemo usambazaji umeme […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 29, 2024
149 views 4 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Asema Rais Samia anataka Ubunifu ili kusogeza huduma bora kwa wananchi* Asisitiza utendaji kazi umuangalie Mtanzania wa kawaida anayeitegemea Serikali kubadili maisha* Aagiza kila Taasisi kuwa na Vigezo vya Upimaji Utendaji Kazi* Ataka Watendaji waache alama ya kazi, si kulinda vyeo* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 28, 2024
207 views 6 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Wizara ya Nishati yawataka wadau wakiwamo Puma Energy kushirikiana na Serikali, kuitafsiri kwa vitendo azma ya Serikali Dkt. Mataragio atoa mwelekeo mpya ufanikishaji wa matimizi ya nishati safi ya kupikia nchini -DAR ES SALAAM WIZARA ya Nishati imetoa rai kwa mashirika na wadau mbalimbali nchini wakiwemo Puma Energy Tanzania kuendelea kushirikiana […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 28, 2024
123 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mchengerwa aeleza ni idadi kubwa tofati na Uchaguzi wa mwaka 2019, awataka Watanzania kujitokeza kuhakiki majina Mkoa wa Pwani kinara uandikisha kwa asilimia 112.61 -DAR ES SALAAM WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Nchengerwa amesema wananchi waliojiandikisha kupiga kura kwenye uchaguzi wa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 28, 2024
205 views 4 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -DAR ES SALAAM BENKI ya NMB Plc imesisitiza kuendelea kutekeleza dhamira yake ya kuyawezesha makampuni kutoka Korea Kusini yenye nia ya kuwekeza hapa nchini, ikiwa ni sehemu ya jitihada zake za kuchangia ukuaji wa uchumi endelevu. Kauli hiyo ilitolewa na Mkuu wa Kitengo cha Miamala Benki ya NMB Linda Teggisa wakati […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...