FEATURE
on Nov 12, 2024
212 views 4 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM KUFUATIA uchunguzi uliofanywa na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya(DCEA) imebaini baadhi ya wafanyabiashara wa shisha wanachanganya bidhaa hiyo na dawa mbalimbali za kulevya ikiwemo heroin ili kuiongezea radha na kupelekea madhara makubwa kwa watumiaji. Akizungumza na waandishi wa habari leo,Novemba 12,2024  wakati akitoa taarifa ya […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 12, 2024
114 views 18 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Novemba 12, 2024 amefanya ziara ya kushitukiza kiwanda cha nguo na mavazi cha Namela Textile Limited kilichopo Gongolamboto Jijini Dar es Salaam. RC Chalamila amefanya ziara hiyo kwa lengo la kujionea kiwango cha uzalishaji, Ubora wa bidhaa pamoja na malalamiko […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 11, 2024
100 views 9 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Ujenzi Uwanja wa Ndege Msalato Wafikia 75%, Kukamika kwake Kutachochea Maendeleo Ampongeza Mhe. Mavunde Kwa Utekelezaji Mzuri wa Ilani ya CCM Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameipongeza Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa kuandikisha idadi kubwa ya wananchi katika daftari la wapiga kura ikiwa ni […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 11, 2024
172 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -DAR ES SALAAM MAMLAKA ya Mapato Zanzibar (ZRA), imewashauri Wahariri wa Vyombo vya Habari nchini kuwajengea waandishi wao uweledi wa kuchagua tahsusi maalum ili  kuripoti kitaalamu hususan katika masuala ya mapato. Ushauri huo umetolewa mwishoni mwa wiki na Mkuu wa Kitengo cha Habari, Uhusiano na Huduma kwa Walipakodi kutoka ZRA, Makame […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 10, 2024
157 views 2 mins

Na Happiness Shayo-Dar es Salaam Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) amewataka Watanzania kuwaenzi mashujaa kwa  kuendeleza utu, amani na ubinadamu walioupigania ili kuifanya dunia kuwa mahali salama pa kuishi. Ametoa kauli hiyo leo alipokuwa mgeni rasmi katika Siku ya Kumbukumbu ya  Mashujaa waliopigania Vita ya Kwanza ya Dunia iliyofanyika […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 8, 2024
151 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Rais Samia apeleka neema Tabora -TABORA WAKALA wa Nishati Vijijini (REA) unatekeleza mradi wa Shilingi Bilioni 19 wa kusambaza umeme katika vitongoji 180 utakaonufaisha kaya 5,940 mkoani Tabora. Hayo yalisemwa jana na Msimamizi wa Miradi ya REA Kanda ya Magharibi, Mhandisi Robert Dulle mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 8, 2024
177 views 6 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Ni wakati akitoa mchango Bungeni kuhusu Mpango wa Taifa wa Maendeleo* Ataja kuongezeka kwa kiasi cha umeme katika Gridi ya Taifa* Aeleza usambazaji umeme vijijini ulivyofanyika kwa mafanikio; Vijiji 78 Tu vyasalia* Aeleza jitihada zilizofanyika Sekta ya Mafuta na Gesi Asilia; Utoaji wa Leseni na Duru ya Tano ya kunadi vitalu* […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 8, 2024
107 views 4 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Arusha Ijumaa 8 Novemba 2024 , Tanzania imefanya mkutano muhimu wa Afya Moja jijini Arusha, ukiwaleta pamoja maafisa wa serikali, washirika wa kimataifa, mashirika ya kiraia, na wataalam ili kuendeleza mbinu ya Afya Moja kama mkakati muhimu kwa usalama wa afya duniani na maendeleo endelevu ya binadamu. Tukio hilo la hadhi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 8, 2024
183 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -DAR ES SALAAM WAZIRI Mkuu Mstaafu, Mzee John Malecela, amesema ziara za Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan zimeleta manufaa makubwa ikiwemo kuiweka Tanzania katika sura nzuri kimataifa na kuimarisha ushirikiano. Amesema katika kipindi hiki cha uongozi wa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia, maendeleo ya kasi yameshuhudhiwa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 7, 2024
149 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla, amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitatumia 4R za Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kwa kufanya kampeni za kistaarabu na kuheshimiana katika uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji. Amesisitiza kuwa viongozi na wanachama wa CCM watakaopata fursa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...