FEATURE
on Nov 15, 2024
183 views 4 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Simanzi yatanda mazishi yake Nchimbi: matukio ya kutia hofu na shaka, hayakubaliki MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ‘ameumizwa na kusikitishwa sana’ na tukio la kuuwawa kwa Ndugu Christina Alex Kibiki, aliyekuwa Katibu wa CCM Wilaya ya Kilolo, […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 15, 2024
146 views 40 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Amtaka Mkandarasi barabara ya Utete-Kingupira kuwasilisha mpango kazi wake Rufiji, Pwani Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mhandisi Victor Seff amemtaka Mkandarasi MAC Contractor Ltd anayejenga Daraja la Mohoro lililopo Wilayani Rufiji  Mkoa wa Pwani kukamilisha ujenzi wa nguzo mbili zilizobakia  kwenye ujenzi wa daraja hilo  […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 15, 2024
116 views 2 mins

Na Happiness Shayo – Serengeti Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) amezindua miradi ya kuendeleza utalii ikiwemo Mradi ya Barabara ya Utalii km22 uliogharimu takribani 761.3 na Mradi wa ujenzi wa Vituo Viwili  vya kupokea na kukagua wageni(Ikona Gate na Visitors  Gate) uliogharimu takribani shilingi milioni 143.5 katika Jumuiya ya […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 15, 2024
149 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Dkt. Biteko asema umekamilika kwa asilimia 99.9* Ataja kuongezeka kwa kiasi cha umeme katika Gridi ya Taifa* Asema asilimia 52 ya umeme nchini inatumika kwa mahitaji ya wanachi* Atoa wito kwa jamii kuhifadhi mazingira* Imeelezwa kuwa mradi wa kufua umeme kwa nguvu za maji wa Rusumo unaotekelezwa kwa ushirikiano wa Nchi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 14, 2024
120 views 2 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 14, 2024
135 views 17 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -DAR ES SALAAM RAIS Samia Suluhu Hassan amealikwa kushiriki mkutano wa viongozi wa G20 utakaofanyika Rio de Janeiro nchini Brazil kuanzia Novemba 18 hadi 19, 2024 ukiwa na kauli mbiu  inayosema ‘Kujenga ulimwengu wa haki na sayari endelevu’. Mwaliko huo umetolewa na Rais Luiz Inacio Lula da Silva wa Brazil ambapo […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 14, 2024
106 views 5 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Wanasayansi kuunganisha afya ya Binadamu, Wanyama na Mazingira kwa Matokeo Bora ya Afya -MWANZA NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mwaka 2015, Tanzania iliunga mkono ajenda ya Mpango wa Kimataifa wa Usalama wa Afya na kuharakisha utekelezaji wa Sheria za Afya za Kimataifa ili kuzuia […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 13, 2024
204 views 58 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mtwara Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mhandisi Victor Seff  amewataka Wahandisi wa TARURA nchini  kutoa ushauri wa kitaalamu kwa wananchi na wadau wa maendeleo  pindi wanapofungua au kutengeneza barabara kwa nguvu zao kwa barabara ambazo hazipo kwenye mtandao unaosimamiwa na TARURA. Mhandisi Seff ameyasema hayo […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 13, 2024
172 views 3 mins

Na Asha Bani WAMACHINGA -DAR ES SALAAM KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amesema kuwa amezungumza na Mwenyekiti wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan na kulazimika kuiomba Serikali kuyapuuza makosa madogomadogo kwenye fomu za wagombea na ikiwezekana waterline na Kamati za Rufaa za Wilaya. Kauli hiyo aliitoa jana Jijini Dar […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 13, 2024
124 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC), Itikadi Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla, amewaomba wanachama katika maeneo ambayo wagombea wa CCM wamewekewa mapingamizi, kuwa watulivu kwani Chama kinaamini haki itatendeka kwa vyama vyote. CPA Makalla aliyasema hayo leo wakati akizungumza na viongozi na wanachama wa CCM Wilaya ya […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...