FEATURE
on Nov 22, 2024
105 views 36 secs

Na Mwandishi Wetu TABORA Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umetoa kiasi cha shilingi milioni 455.7 kwa ajili ya kusambaza mitungi ya gesi ipatayo 22,785 mkoani Tabora ukiwa na lengo la kuhamasisha na kuchochea matumizi ya nishati safi ya kupikia nchini. Hayo yamebainishwa leo Novemba 22, 2024 na Mkurugenzi wa Teknolojia za Nishati Jadidifu na Mbadala, […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 22, 2024
160 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu Asema Vyama Vishindane kwa Sera na Utekelezaji wa Ahadi* WanaCCM Bukombe Waaswa Kuimarisha Ushirikiano* Azindua Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Bukombe* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Bukombe, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa kwa miaka yote wananchi wa Wilaya ya Bukombe […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 22, 2024
109 views 59 secs

Na Mwandishi Wetu Mitungi ya gesi zaidi ya 13,000 kusambazwa Songwe Kila wilaya kupatiwa mitungi ya gesi 3,255 Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umeingia mkataba na mtoa huduma kampuni ya Oryx Gas Tanzania Limited ambaye atahudumia wilaya zilizopo ndani ya Mkoa wa Songwe kwa kuuza kwa bei ya ruzuku mitungi ya gesi ya kilo sita […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 22, 2024
97 views 46 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA RUKWA Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Mhe. Makongoro Nyerere amewataka Watanzania kuendelea kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuhamasisha na kuchochea ajenda ya nishati safi ya kupikia nchini. Hayo yamebainishwa leo Novemba 21, 2024 na Mhe. Nyerere mara baada ya uwasilishwaji wa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 22, 2024
139 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ARUSHA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amejizolea umaarufu huku akipongezwa na Taasisi ya haki za binadamu Duniani kwa kuwapa faraja wananchi wa Ngorongoro. “tunapenda kutumia fursa hii kumshukuru na kumpongeza Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kwa hatua nzuri aliyoichukua ya kutuma wajumbe wake wakati wananchi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 21, 2024
138 views 3 mins

Na mwandishi wetu.. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amesema CCM inaingia kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa kikiwa na imani kubwa ya Watanzania kutokana na uimara wa chama na uongozi wa Mwenyekiti wake, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Amesema kuwa uimara wa CCM unatokana na wingi na umakini […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 21, 2024
176 views 45 secs

Na MWANDISHI WETU -DAR ES SALAAM Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali haitasita kubomoa majengo yote ya Kariakoo, iwapo tume iliyoundwa kuchunguza usalama huo takuja na mapendekezo hayo. Sambamba na hilo Mkuu wa nchi amewataka watendaji wa Serikali kuwajibika kwa nafsi zao katika utoaji wa vibali vya ujenzi akitaka visimamiwe ipasavyo. Rais Saia aliyasema hayo […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 21, 2024
112 views 5 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Asema CCM Inaweza Kazi, Ipewe Kura* Rais Samia Ang’ara Miradi ya Maendeleo* Wabunge Waeleza Mafanikio ya CCM Mara* Wananyamongo Waahidi Ushindi CCM Uchaguzi wa Serikali za Mitaa* Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa ambaye pia ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 21, 2024
118 views 3 mins

Na Lusungu Helela -Rukwa Naibu  Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma  na Utawala Bora, Mhe. Deus Sangu ameupongeza Mkoa wa Rukwa kwa usimamizi bora wa fedha za Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) kupitia utekelezaji wa Mpango wa Kuzinusuru Kaya Maskini nchini kwa kufuatilia kwa ukaribu utekelezaji wa miradi inayowanufaisha walengwa wa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 20, 2024
144 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA _Azindua kampeni Mwanza akitamba na takwimu za kura za uhakika_ _Awasihi wanaCCM kila mmoja kutafuta kura 10 kwa ajili ya ushindi wa kishindo_ _Ahamasisha kampeni za nyumba kwa nyumba na mtu kwa mtu, isiachwe kura hata moja, wakiwemo wapinzani_ _Awataka washindi kuwatumikia Watanzania kwa kupinga dhuluma na rushwa_ Katibu Mkuu wa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...