FEATURE
on Nov 25, 2024
146 views 4 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya DCEA Kwa kushirikiana na vyombo vingine vya Dola,imekamata jumla ya kilogram 2,207,56 za dawa za kulevya na dawa tiba zenye asili ya kulevya Katika mikoa ya Tanga na Dar es salaam Akizungumza na Mwandishi wa habari jijini dar es […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 25, 2024
142 views 3 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM Tanzania  kupitia  shirika la uwakala  wa Meli Tanzania (TASAC) imeteuliwa  kuwa  nchi mwenyeji kwenye  wa Makutano wa  saba (7) wa akimataifa wa jumuiya ya  Mamlaka za usimamizi wa usafiri  Majini Barani Afrika utakaofanyika kuanzia tarehe  29 novemba  hadi 10 Disemba 2024 jijini Dar es salaam. Akizungumza na waandishi wa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 25, 2024
138 views 5 mins

Bodi ya TAWA yaridhishwa na uboreshaji wa miundombinu ya utalii* Na Beatus Maganja, Arusha. MAMLAKA ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imeanza rasmi utekelezaji wa mikakati ya kuiendeleza na kuiandaa  Hifadhi ya Makuyuni Wildlife Park iliyopo Mkoani Arusha Kwa ajili ya kupokea wageni wengi zaidi kwa kuongeza mindombinu ya utalii hususani barabara, ujenzi wa mabwawa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 25, 2024
96 views 55 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Asema baada ya michezo nguvu zielekezwe Novemba 27, 2024* Awataka kuchagua viongozi makini wenye uchungu na maendeleo* Asema CCM ndiyo chaguo SAHIHI* Mbunge wa Vijana Mkoa wa Ruvuma (CCM) ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga ameendelea na kazi ya kuhamasisha Wananchi katika maeneo mbalimbali ya Mkoa wa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 24, 2024
119 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Tunataka Tuoneshe Afrika na Dunia Tanzania ni Nchi ya Demokrasia* Asema CCM Imejipanga Kushinda na Kuleta Maendeleo* Asema CCM Inataka Ushindi wa Heshima* Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa ambaye pia ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 24, 2024
103 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa (NEC), Itikadi Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla amesema CCM haihitaji kubebwa kwani inabebwa na kuuzwa na kazi nzuri zinavyofanywa na madiwani, Wabunge na Rais Samia Suluhu Hassan. Makalla amesema hayo leo Novemba 24,2024 akizungumza na wananchi wa Jimbo la Ukonga […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 23, 2024
104 views 2 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 23, 2024
152 views 10 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Na Mwandishi wetu – Dar es Salaam. Waziri wa Mambo wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry Silaa,  wakutana na wadau wa mawasiliano yakiwemo makampuni ya simu kujadili kuhusu Makosa ya uhalifu wa mtandaoni mkutano huo umefanyika leo Novemba […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 22, 2024
130 views 56 secs

Na Mwandishi Wetu *T Ni katika  kuendeleza Sekta za Mafuta na Gesi* Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi wafikia asilimia 47* Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati,  Dkt. James Mataragio amesema nchi za Tanzania na Uganda zitaendelea kushirikiana katika uendelezaji wa miradi mbalimbali ya Nishati ikiwemo Sekta ya Mafuta na Gesi. Dkt. Mataragio ameyasema hayo […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 22, 2024
171 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu – Rukwa. Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na  Utawala Bora ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Kwela ametoa wito kwa Wananchi  kuendelea  kumuunga mkono Rais, Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan  kwa kuwachagua  Viongozi wa Serikali za Mitaa wa Chama Cha Mapinduzi. Mhe.Sangu ametoa kauli hiyo leo kwa nyakati […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...