FEATURE
on Dec 4, 2024
129 views 3 mins

Na. Lusungu Helela- Dodoma Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala  Bora, Bw. Xavier Daudi amesema Wananchi walio wengi wamekuwa wakitumia mitandao ya Kijamii kufikisha malalamiko yao kwenye Taasisi za Serikali kutokana na  baadhi ya  Watumishi wa Umma kuvujisha siri za wateja wao pindi wananchi hao wanapotumia mifumo rasmi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Dec 3, 2024
151 views 2 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Dec 3, 2024
101 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Awataka watumishi kuchapa kazi kutimiza lengo la Serikali Dodoma Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara za VIjijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor Seff amewashukuru Watanzania wote waliojitokeza na kumpigia kura wakati akiwania tuzo za Mtendaji/Mkurugenzi Mkuu Bora wa mwaka 2024 kati ya Wakurugenzi 100 walioteuliwa kuwania tuzo hizo (Top 100 Executive […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Dec 3, 2024
135 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Magari yanayotumia umeme yawa kivutio Wadau waonesha vifaa vinavyotumia umeme kidogo kwa gharama ndogo Dkt. Mataragio asema Matumizi Bora ya Nishati yanalenga kupunguza uzalishaji hewa ya ukaa Mkutano wa Kikanda wa Matumizi Bora ya Nishati unaojumuisha Viongozi na Wadau mbalimbali kutoka nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)  na Jumuiya ya […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Dec 3, 2024
158 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA SERIKALI YASEMA UNYANYASAJI DHIDI YA WENYE ULEMAVU SASA BASI Wakuu wa Mikoa waagizwa kusimamia mpango wa taifa haki na Ustawi kwa wenye ulemavu Halmashauri zatakiwa kutenga Bajenti ununuzi wa teknolojia saidizi kwa wenye ulemavu   Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema Serikali haipendi kusikia na haitavumilia […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Dec 3, 2024
94 views 30 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -ARUSHA AMIRI Jeshi Mkuu Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan awatunuku Kamisheni maafisa wanafunzi 236 wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania katika Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi (TMA) Monduli mkoani Arusha. Sherehe hizo zilifanyika jana mjini Monduli mkoani Arusha na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wakiwamo wakuu wa majeshi wastaafu, Mirisho […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Dec 3, 2024
166 views 2 mins

Na MWANDISHI WETU -DAR ES SALAAM OFISI ya Bunge imefanyia mabadiliko ratiba ya maziko ya Mkurugenzi Mkuu Mteule wa Shirika la Afya Dunia (WHO) Kanda ya Afrika, ambaye pia ni Mbunge wa Kigamboni, Faustine Ndugulile ambaye amefariki usiku wa kuamkia Novemba 27, mwaka huu nchini India,  ambapo ratiba ya sasa inaonesha atazikwa Jumamne Desemba 3, […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Dec 3, 2024
113 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -DAR ES SALAAM NI kampeni za lala salama. Ndivyo unaweza kusema, hasa baada ya vyama vya siasa nchini kupepetana kwa siku saba kwenye majukwaa ya kisiasa kusaka ushawishi kwa wananchi. Kutokana na hali hiyo sasa Watanzania leo wataamua kwa kupiga kura ili kuchagua wenyeviti wa mitaa, vijiji na vitongoji huku CCM […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Dec 2, 2024
120 views 51 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Ngome ya Vijana ya ACT Wazalendo kupitia kwa Naibu  Katibu Vijana Taifa, Ruqayya Nassir leo tarehe 2 December 2024, Jijini Dar es Salaam ametoa rai kwa vijana nchini kupinga dhulma zote zinazolenga kuizika Demokrasia na kuzika matumaini ya kurejeshwa demokrasia ya kisiasa nchini. Ruqayya amesema kwenye masuala haya ya kutekwa na […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Dec 2, 2024
100 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Azindua Kongamano la 9 Sayansi, Teknolojiana Ubunifu Asema Watafiti waendelezwe, wasivunjwe moyo Azindua Mfuko wa mikopo nafuu “SAMIA FUND” Norway Yaahidi kuendelea kufadhili utafiti wenye tija  Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema umefika wakati kwa Serikali na taasisi na Mashirika kutambua, kuthamini na kutumia tafiti […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...