FEATURE
on Mar 5, 2025
71 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA 📌 Serikali kuwezesha

Sera, Sheria kwa wawekezaji wa Nishati Safi ya kupikia 📌 Ahamasisha matumizi ya Nishati ya Safi ya kupikia nchini 📌Ampongeza Mkurugenzi Mtendaji TANESCO kwa kuunganisha watumiaji Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Wanawake kuwa mabalozi wa nishati safi ya kupikia, ili kuhakikisha […]


Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 4, 2025
95 views 8 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA 📌 *Asema Sera na Sheria zinazowekwa zinahimiza matumizi ya Nishati Safi* 📌 *Afungua Mkutano wa Awali EAPCE’25* 📌 *Ataka utumike kujadili na kuweka mipango itakayowezesha matumizi ya Nishati Safi* 📌 *Ataka mkazo kuwekwa kwenye Nishati Safi ya Kupikia kwani matumizi ya kuni na mkaa bado ni makubwa* Naibu Waziri Mkuu na […]


Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 4, 2025
83 views 3 mins

■Lengo ni kuimarisha uhifadhi nchini Na Happiness Shayo – Ngorongoro Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii kwa mara ya kwanza imepokea Faru weupe 18  kutoka nchini Afrika Kusini kwa lengo la kuimarisha shughuli za uhifadhi nchini. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi,Dkt.Pindi Chana (Mb) ameyasema hayo leo […]


Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 4, 2025
153 views 2 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM GSM Foundation

na Hospital ya CCBRT leo wamesaini makubaliano ya ushirikiano ambapo GSM Foundation inaongoza kampeni ya kuchangisha kiasi cha milioni 588,734 ,880 za kitanzania kwaajili ya matibabu ya watoto 400 waliozaliwa na tatizo la miguu kifundo (clubfoot) ambapo wanapokea matibabu katika Hospitali ya CCBRT jijini Dar es Salaam […]


Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 4, 2025
108 views 57 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA 📌 *Wizara ya Nishati yajivunia jitihada katika

kulinda haki, usawa na kuwawezesha wanawake* 📌 *Kapinga asema lengo ni kuboresha ustawi wa mwanamke na kuongeza thamani yake.* Katika kuelekea maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani Machi 8, 2025, yenye kaulimbiu “Wanawake na Wasichana 2025: Tuimarishe Haki, Usawa na Uwezeshaji” Wizara ya Nishati […]


Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 4, 2025
97 views 59 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA MAMLAKA ya Usimamizi wa

Wanyamapori Tanzania – TAWA Kanda ya Magharibi leo Machi 3, 2025 imesherehekea Siku ya Wanyamapori Duniani kwa kufanya shughuli mbalimbali za kijamii na uhifadhi, ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono juhudi za kulinda wanyamapori na mazingira. Katika maadhimisho hayo, Kanda hiyo ilitoa misaada ya vyakula kwa wanafunzi […]


Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 3, 2025
79 views 2 secs

Na Madina Mohammed DODOMA WAMACHINGA Katika mwaka wa fedha 2024/25 serikali inatarajia kupandisha vyeo watumishi  laki mbili kumi na tisa na arobaini na mbili (219042)na kubadilisha kada watumishi elfu sita Mia tisa na kumi (6910). Haya yameelezwa  leo 3 march jijini Dodoma, waziri wa nchi ,ofisi ya Rais Utumishi na Utawala bora George  Simbachawene  katika […]


Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 3, 2025
89 views 19 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA 📌 *Asema Wizara ya Nishati

inalo la kujivunia kutokana na uwepo wanawake katika nafasi za uongozi.* Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano  Serikalini Wizara ya Nishati,  Neema Mbuja amesema kile ambacho wanawake walikipambania  katika majukwaa mbalimbali ikiwemo ya Kimataifa ili kuwa na  haki, usawa na uwezeshaji kwa wanawake matunda yake yanaonekana hivi […]


Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 3, 2025
115 views 4 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana amesema ongezeko la idadi ya Wanyamapori katika hifadhi za Wanyama hapa nchini imetokana na juhudi za serikali kushirikisha wadau wa uhifadhi wa Wanyamapori na wananchi kwa ujumla hali iliyopelekea kukua kwa utalii na uchumi katika Taifa. Ameyasema hayo leo Machi 03, […]


Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 3, 2025
119 views 4 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Kwa

kuelekea siku ya wanawake duniani kwa tamko la Beijing linalotimiza miaka 30 Kwa kusheherekea siku ya wanawake duniani Ambapo kilele chake kufanyika siku ya Tarehe 8 Machi Mapinduzi ya Beijing yaliyoanza kufanywa mwaka 1995 Hadi siku ya Leo yanamueka mwanamke kama mtu mwenye mchango sawa na Mwanaume […]


Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...