FEATURE
on Dec 16, 2024
116 views 2 mins

Na. Lusungu Helela – Arusha. Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.Deus Sangu amesema  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Mhe. Dkt.  Samia Suluhu Hassan ni kiongozi aliyejipambanua kwa vitendo  kwa kuichukia rushwa ambapo katika Uongozi wake  ameiwezesha Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa  ( TAKUKURU) […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Dec 16, 2024
265 views 5 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Zoezi la Uchaguzi wa Wanafunzi wa Kujiunga na Kidato cha Kwanza mwaka, 2025 kwa kuzingatia miongozo iliyotolewa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknoloji limekamilika na wanafunzi wote wenye sifa ya kujiunga Kidato cha Kwanza wamepata nafasi ya kujiunga na Kidato cha Kwanza bila ya kuwepo kwa chaguo […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Dec 15, 2024
109 views 2 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Dec 15, 2024
106 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA KATAVI Wananchi wafurahia uwepo wa TAWA Halmashauri ya Wilaya ya Mlele imepokea gawio la Shillingi Millioni 210 kutokana na shughuli za uwindaji wa kitalii zinazosimamiwa na Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA wilayani humo. Gawio hilo ni asilimia 25 ya fedha zitokanazo na faida inayopatikana kutokana na shughuli za […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Dec 15, 2024
124 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Amwakilisha Rais Samia hafla ya kutabaruku kanisa SDA- Magomeni* Ataka watu kutengenezeana furaha badala ya kuumizana* Ahimiza Mshikamano wa Taifa ili kuleta maendeleo* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Watanzania kujenga misingi ya kusaidiana kuheshimiana na kuvumiliana ili kufanikisha malengo wanayojiwekea kimaendeleo. Dkt. Biteko ametoa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Dec 15, 2024
182 views 11 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Polisi Mkoa wa Kipolisi Rujifi inawashikilia Watu wawili, mmoja akiwa na asili ya Kiasia kwa tuhuma za kukutwa na shehena ya nyaya za shaba zilizoibwa katika Miundombinu ya Umeme – TANESCO na Shirika la Reli Tanzania (TRC). taarifa ya Jeshi la polisi imeeleza kuwa Watuhumiwa hao walikutwa na copper block 426 […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Dec 14, 2024
86 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA *Akabidhi vifaa mbalimbali vyenye thamani ya mamilioni ya fedha katika Jimbo la Chwaka* MWAKILISHI wa Jimbo la Chwaka visiwani Zanzibar ambaye pia ni Katibu wa Halmashauri Kuu((NEC) Oganaizesheni Issa Gavu amesema Serikali ya Awamu ya Nane chini ya Rais Dk.Hussein Ali Mwinyi imefanya maendeleo makubwa kupitia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Dec 14, 2024
166 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Wasanii wametakiwa kujitokeza kwa wingi kupima afya zao wakati wa kambi maalumu ya uchunguzi na matibabu ya moyo itakayofanyika hivi karibuni katika Kliniki ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) iliyopo Kawe. Rai hiyo imetolewa leo jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Dec 14, 2024
127 views 37 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) leo Tar.13 Desemba 2024, imefanya mafunzo kwa Wanachama wa Chama cha Wafanyakazi wa Vyombo vya Habari Tanzania (JOWUTA) jijini Dar es Salaam, huku msisitizo ukiwa kwenye uvunaji wa maji ya mvua katika kukabiliana na upungufu wa huduma za maji katika maeneo […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Dec 13, 2024
128 views 2 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...