FEATURE
on Dec 29, 2024
202 views 40 secs

*Energy Updates* This energy project has truly brought significant changes, particularly in our daily production environment. It has become essential for carrying out our everyday activities. As a result, young people have started opening barbershops, while others are engaged in welding or selling cold drinks. Everyone is making the most of the opportunities provided by […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Dec 25, 2024
121 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA   Katika kusherehekea SIkukuu za Krismasi na Mwaka Mpya 2025, Watanzania hatuna budi kujivunia safari ya mafanikio katika Sekta ya Nishati, hususan umeme. Je Unajua kabla ya kupata Uhuru mwaka 1961 Nchi ilizalisha umeme kwa kutumia mafuta ambapo kila mkoa ulijitegemea na hapakuwepo na mfumo wa gridi ya Taifa? Safari ya […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Dec 24, 2024
170 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA TANESCO yaunganisha Kigoma na umeme wa Gridi kupitia Kituo cha Kidahwe* Mha.Nyamo-Hanga asema Serikali kuokoa sh.bilioni 58 zilizokuwa zikitumika kwenye umeme wa mafuta* Ataja miradi mingine ya kuimarisha umeme  Kigoma* Agizo la Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe.Dkt,Doto Biteko la kulitaka Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kutekeleza kwa kasi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Dec 23, 2024
125 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ameainisha matukio kadhaa yaliyogusa mkoa huu mwaka 2024, akisisitiza juhudi za mamlaka kurejesha utulivu na kuboresha usalama. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Disemba 23,2024 Chalamila amesema matukio hayo yameathiri mkoa kwa namna tofauti, lakini juhudi za pamoja za […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Dec 23, 2024
176 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Dar es Salaam, mji mkubwa na wa kihistoria nchini Tanzania, ni injini muhimu ya uchumi wa taifa. Ikiwa lango kuu la biashara kwa ukanda wa Afrika Mashariki, jiji hili lina mchango mkubwa katika kukuza uchumi wa kitaifa kupitia bandari yake yenye shughuli nyingi, biashara za kimataifa, na uwekezaji wa ndani na […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Dec 23, 2024
175 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Kuelekea sikukuu za Chrismas na Mwaka mpya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Albert Chalamila amesema ulinzi na usalama umeimarishwa ili kuhakikisha wananchi hususani wakazi wa Mkoa huo wanakuwa salama katika kipindi chote cha sikukuu na baada ya sikukuu, pia amewataka wazazi na walezi kusimamia vema usalama wa watoto […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Dec 23, 2024
122 views 3 mins

Na Kassim Nyaki, Karatu. Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Dkt. Pindi Hazara Chana (Mb) kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amemvisha cheo na kumuapisha Dkt. Elirehema J. Doriye Kuwa Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA). Akimuapisha Dkt Doriye katika hafla iliyofanyika leo […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Dec 23, 2024
114 views 53 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Wageni wengi wametembelea eneo la Mnara wa Saa ” *Clock Tower* ”  kwa ajili ya kujionea taswira mbalimbali za wanyamapori pamoja na kupata elimu kuhusu umuhimu wa kijiografia wa eneo hilo. Uwepo wa Taswira za Wanyamapori ambazo zimewekwa na *TAWA* katika eneo hilo limenogesha zaidi kwa kuwavutia wageni wengi wazawa na […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Dec 23, 2024
110 views 53 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Wageni wengi wametembelea eneo la Mnara wa Saa ” *Clock Tower* ”  kwa ajili ya kujionea taswira mbalimbali za wanyamapori pamoja na kupata elimu kuhusu umuhimu wa kijiografia wa eneo hilo. Uwepo wa Taswira za Wanyamapori ambazo zimewekwa na *TAWA* katika eneo hilo limenogesha zaidi kwa kuwavutia wageni wengi wazawa na […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Dec 20, 2024
109 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa masuala ya uchukuzi ipo katika hatua za kuandaa mapendekezo ya kutunga sheria ya Bodi ya Uchukuzi  kwa lengo la kuwatambua na kuwasajili wana taaluma hao Kauli hiyo imetolewa leo Desemba 20,2024 na Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...