FEATURE
on Jan 21, 2025
102 views 3 mins

๐Ÿ“ŒAzindua dira ya miaka 50 ya CBE (2025 – 2075) ๐Ÿ“ŒAsisitiza matumizi ya teknolojia za kisasa, zinazojibu changamoto za jamii ๐Ÿ“ŒTaasisi za elimu ya juu zatakiwa kuweka mkazo mafunzo ya ujasiriamali Vyuo na taasisi zinazotoa elimu ngazi ya Kati ikiwemo Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), zimetakiwa kuboresha mitaala yake ya masomo ili iendane na […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 21, 2025
92 views 5 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, imeendelea kufanya uwekezaji mkubwa katika Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini ikiwemo upande wa miundombinu ya uangazi wa hali ya hewa na kujenga uwezo wa wafanyakazi. Kauli hiyo imetolewa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, leo (Jumanne, Januari 21, […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 21, 2025
122 views 2 mins

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa ameapishwa na Kaimu Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Tanzania, Kanda ya Dodoma, Edwin Kakolaki kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Jeshi la Polisi, Magereza, Zimamoto na Uokoaji na Idara ya Uhamiaji, leo tarehe 21 Januari 2025 katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Kituo Jumuishi cha Utoaji wa Haki […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 21, 2025
94 views 17 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ๐Ÿ“ŒAsema ilijengwa wakati mahitaji yakiwa kidogo ๐Ÿ“ŒVijiji vyote vimefikiwa na umeme Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati,ย  Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema miundombinu iliyopo ya kusambaza umeme ni ya muda mrefu na Serikali tayari imeshaanza kazi ya kuibadilisha. Dkt. Biteko ameyasema hayo wakati akiwa katika kipindi cha dakika 45 ITV […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 21, 2025
103 views 7 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -DODOMA CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kipi kwenye hesabu kali hasa baada ya kukamilisha uteuzi wa wagombea wake wa urais kwa upande wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (CCM) Hatua hiyo ya kufanya uteuzi wa wagombea wake mapema unakwenda kuakisi kwamba chama hicho tawala nchini, kimedhamiria kushinda […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 21, 2025
93 views 53 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -DAR ES SALAAM MKUTANO Mkuu Maalumu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) uliofanyika Dodoma Januari 18 na19, mwaka huu umewateua Mwenyekiti wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hicho, Dkt. Hussein Ali Mwinyi kuwamgombea urais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 20, 2025
90 views 6 mins

Na MWANDISHI WETU -DODOMA NI Samia tena urais 2025-2030. Ndivyo unavyoweza kusema hasa baada wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa wa Chama Cha Mapinduzi kumpitisha kuwa mgombea wa urais wa chama hicho tawala. Hatua hiyo ya kufikia uamuzi wa kutaka kuwapitisha kuwa wagombea wa urais kwa upande wa Bara na Zanzibar kama njia muhimu ya […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 20, 2025
87 views 6 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -DODOMA WAKATI Chama Cha Mapinduzi (CCM), kikitarajiwa kuanza kwa Mkutano Mkuu Maalum kesho, hali ya hekaheka za wajumbe kutoka mikoa mbalimbali imeshika kasi jijini Dodoma. Kutokana na hali hiyo ni wazi kwa siku ya jana Jiji la Dodoma lilikuwa na shangwe huku naba kubwa ya wajumbe kutoka mikoa ya Dar es […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 20, 2025
178 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA *Mchakato wa kumjua mrithi wa Kinana kuanza kesho, Dodoma yapambwa na rangi ya kijani kila kona *Hoteli zachukuliwa na CCM, wajumbe waanza kuwasili -DODOMA WAKATI joto la kutaka kujua nani atarithi nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) iliyokuwa inashikiliwa na Komredi Abdulrahman Kinana sasa ni wazi vikao vya […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 20, 2025
114 views 5 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -DODOMA NI Stephen Wasira CCM! Hivyo ndivyo unavyoweza kuelezea baada ya Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mqpinduzi(CCM) kupitisha jina lake kuwa Makamu Mwenyekiti akichukua nafasi iliyoachwa na Abdulrahman Kinana. Wasira amepitishwa katika mkutano huo uliofanyika janaย  mjihi Dodoma ambapo amepata kura za ndiyo 1,910 kati ya kura halali 1,917 huku […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...