FEATURE
on Jan 27, 2025
84 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA MSANII Maarufu wa Bongo “Movie” Nchini Irene Uwoya ameanzisha kampeni ya kumkomboa mwanamke kwenye Sekta ya Kilimoa inayojulikana kama “Jemba ni Mama”. Akizungumza na waandishi wa habari leo Januari 26, 2025 Wakati akitangaza kampeni hiyo Uwoya ambaye pia ni Mwenyekiti wa Mradi huo amesema asilimia 67 ya Wanawake ndiyo wanaojushughulisha na […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 27, 2025
96 views 3 mins

Na Philomena Mbirika, Tanga Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) imezindua Kampeni ya kuhamasisha utalii wa ndani katika mapango ya amboni Tanga kuelekea sikukuu ya wapendanao inayoadhimishwa  kila mwaka tarehe 14 Februari. Kampeni hiyo iliyozinduliwa na Mkuu wa Wilaya ya Tanga Mhe. Japhari Kubecha leo tarehe 26/01/2025, inaenda kwa kauli mbiu isemayo “Diko […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 27, 2025
88 views 3 mins

▪️Awataka Wana-CCM kujiandaa na Uchaguzi Mkuu▪️Asema Wana-CCM wanaowajibu wa kueleza kwa watanzania utekelezaji wa Ilani WAZIRI MKUU, amewasisitiza Watanzania wote kushirikiana na Serikali kuweka mkazo kwenye matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa kubadili utaratibu za kupika chakula ili kuachana na matumizi ya kuni na mkaa. “Mwenyekiti wetu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Mheshimiwa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 26, 2025
88 views 3 mins

📌 *Kituo mama cha CNG katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuhudumia magari 1,200 kwa siku* 📌 *Serikali yaendelea kuhamasisha Sekta binafsi ujenzi wa vituo vya CNG* Serikali kupitia Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) imepongezwa kwa ujenzi wa mradi wa Kituo mama cha gesi iliyoshindiliwa yaani Compressed Natural Gas (CNG)  na Vituo […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 25, 2025
133 views 5 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 25, 2025
68 views 4 mins

📌 *Asema Serikali inawathani kama ilivyo kwa watu wengine;* 📌 *Aipongeza Manara TV kwa msaada wa Vifaa Kinga kwa Wenye Ualbino;* 📌 *Wenye Ualbino wampongeza Rais Samia kuchaguliwa mgombea Urais 2025.* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewahimiza watu wenye ualbino nchini kutembea kifua mbele na wasiojione wanyonge kutokana na […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 25, 2025
94 views 44 secs

Na. Mwandishi Jeshi la Polisi Arusha. Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linawashikilia watuhumiwa wawili kuhusiana na taarifa inayosambaa katika mtandao wa kijamii ikieleza kunusurika kuuawa, kutekwa na kupigwa nyundo kichwani kwa raia mmoja wa kigeni aitwaye Suzan Mary Shawe (75) raia wa afrika kusini. Akitoa taarifa hiyo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha SACP […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 25, 2025
200 views 53 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Wavuvi 540 waliokuwaa wanafanya shughuli za Uvuvi katika Ziwa Rukwa wameokolewa na Wavuvi 10 wanaendelea kutafutwa kufuatia upepo mkali uliotokea mnamo tarehe 23 Januari 2025 katika ziwa Rukwa Wilayani Sumbawanga Mkoani Rukwa. Kufuatia tukio hilo, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amefika katika Kata ya Nankanga kuungana na […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 25, 2025
79 views 2 mins

Waziri wa Ujenzi Abdallah Ulega ameutaka Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA),  kufanya tathmini ili kujua athari chanya zitakazopatikana kwa jamii kutokana na ujenzi wa vivuko vipya sita vinavyoendelea kujengwa na kutarajiwa kukamilika hivi karibuni. Akikagua ujenzi huo katika Karakana ya Songoro jijini Mwanza Waziri Ulega amesema Serikali kupitia TEMESA imetenga zaidi ya Shilingi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 25, 2025
72 views 4 mins

• *Mwanasheria Mkuu wa Serikali asisitiza kuendelea kusogeza huduma karibu na Wananchi* Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali limekutana na kufanya kikao kwa ajili ya kujadili masuala mbalimbali yatakayosaidia kurahisisha utendaji kazi na kutoa huduma bora zaidi za kisheria kwa wananchi. Kikao hicho kimefanyika Januari 24, 2025 katika Chuo cha Uongozi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...