FEATURE
on Feb 5, 2025
72 views 6 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ๐Ÿ“Œ *Amuagiza Mkurugenzi Mtendaji TANESCO kumchukulia hatua mtaalam aliyemfokea mteja* ๐Ÿ“Œ *Ataka Mpango Mahsusi wa Nishati uliosainiwa katika Mkutano wa Mission 300 kupewa kipaumbele* ๐Ÿ“Œ *PURA, REA, EWURA zang’ara tathmini ya utendaji kazi Taasisi chini ya Wizara ya Nishati* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameeleza […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Feb 1, 2025
133 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, ambaye alikuwa Mgeni Rasmi katika hafla ya utangazaji wa takwimu za watalii na mapato yatokanayo na utalii kwa mwaka 2024, amezindua rasmi taarifa hizo katika hafla iliyofanyika katika Hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa takwimu zilizotangazwa, jumla […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 31, 2025
300 views 2 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA waziri mkuu kasim majaliwa kuwa mgeni rasmi Katika siku ya “VALENTINE EVE PATRIOTIC AWARDS 2025″” Itakayofanyika Katika ukumbi wa hayyat Regency Tarehe 13 jijini dar es salaam. Siku hiyo watakutana wataalumu wa saiko-sosholojia  Ambapo watazungumzia maswala ya ugonjwa wa kuambukiza ambao unasadikika ni hatari sana Kwa jamii na […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 31, 2025
85 views 4 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Tuzo zaย  za Kimataifa ya Kuhifadhi Quraan yatakayofanyika Aprili 23 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Aidha Taifa la Saudi Arabia, limetangaza neema katika mashindano hayo ikiwa ni pamoja naย  kumleta mmoja wa maimamu wakubwa wa msikiti mtakatifu […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 31, 2025
100 views 18 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema Chama na serikali yake haitakubaliana na azimio lolote litakalotolewa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) baada ya kukutana kwa faragha kama walivyotangaza viongozi wa chama hicho, juzi. Amesema amesikia chama hicho kikitangaza kwamba kinakwenda kujifungia kisha kije na […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 30, 2025
113 views 49 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mkandarasi barabara ya Ilula Image-Ilambo atakiwa kurejea kazini mara moja Iringa Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor Seff, amesema serikali inaridhishwa na kazi zinayofanywa na wakandarasi wanaojenga barabara za Mtili โ€“ Ifwagi (Km. 14) na Wenda โ€“ Mgama (Km. 19) ambazo zinagharimu bilioni 52. […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 30, 2025
143 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ๐Ÿ“Œ Rais Samia atuma salamu za pole, agharamia misiba na mazishi ๐Ÿ“Œ Mkuu wa Wilaya Bukombe aishukuru Idara ya Afya kwa juhudi za maokozi ๐Ÿ“Œ Viongozi wa dini wahimiza uvumilivu na uhimilivu kipindi cha majonzi Leo Januari 30, 2025 mkoani Geita, maelfu ya waombolezaji wamejitokeza kuaga miili ya wanafunzi saba wa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 30, 2025
96 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ๐Ÿ“Œย  Asema kuunganisha umeme maeneo ya Vijiji Mji ni shilingi 320.960/- ๐Ÿ“Œย  Kapinga asema maeneo ya Kerwa umeme umeshafika Makao Makuu ya Vijiji Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga kwa niaba ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Bitekoย  amesema uunganishaji wa umeme kwenye maeneo ya […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 27, 2025
115 views 2 mins

Bodi ya Utalii Tanzania- TTB kwa kushirikiana na Ofisi ya Ubalozi wa Tanzania unaowakilisha Uhispania sambamba wadau mbali wa Utalii kutoka sekta binafisi chini ya mwamvuli wa TLTO kwa pamoja wamefanikisha Ushiriki wa Nchini ya Tanzania katika onesho la 45 la FITUR jijini Madrid, hii ni kuanzia tarehe 22 hadi 26 January,2025. Katika onesho hilo […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 27, 2025
107 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA – Asema mpaka sasa Marais wengi wamekwishafika – Kufuatia uwepo wa ugeni huu Mkubwa baadhi ya barabara zitafungwa na kufunguliwa ili kuepusha usumbufu kwa wageni – Asisitiza kuwa Serikali imeelekeza tarehe 27-28 Januari, 2025ย  Watumishi wa Umma Dsm kufanyia kazi Nyumbani – Agusia sualaย  la Usafi, Ulinzi na Usalama wa Mkoa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...