FEATURE
on Feb 18, 2025
92 views 6 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama, imeteketeza ekari 336 za mashamba ya bangi yaliyokuwa ndani ya hifadhi ya Ikome wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma yakiwa yamechanganywa na mazao mengine halali ili kuficha shughuli hiyo haramu, Aidha, katika operesheni hiyo, […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Feb 16, 2025
81 views 2 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Feb 16, 2025
95 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Kamati ya Kudumu ya Bunge ya  Ardhi, Maliasili na Utalii imeitaka Wizara ya Maliasili na Utalii kubuni mazao mapya ya Utalii ili kuwavutia watalii  huku ikisisitiza kwamba inatamani watalii wanaotoka   Zanzibar kwenda kutalii katika eneo la Mapango ya Amboni yaliyopo jijini Tanga. Mwenyekiti wa Kamati ya Ardhi, Maliasili na Utalii Mhe. […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Feb 16, 2025
68 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu na Mbunge wa Jimbo la Chalinze Mhe. Ridhiwani Kikwete amemshukuru Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassani kupitia Serikali kuendelea kuhakikisha wanatoa elimu kwa watoto wenye mahitaji maalum. Kikwete ameyasema hayo Jana Februari 15, […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Feb 16, 2025
71 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA 📌 *Asema amani ya nchi ilindwe kwa wivu mkubwa* 📌*Asisitiza uchaguzi Mkuu wa Oktoba usiligawe Taifa* 📌*Asema Watanzania waendelee kumuombea Rais Samia kwa kazi nzuri anazofanya* 📌 *Serikali kuboresha mipango yake kulingana na mahitaji ya dunia* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametoa wito kwa Watanzania […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Feb 14, 2025
78 views 8 mins

Na Lusungu Helela- ARUSHA Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,  Mhe. George Simbachawene amesema zaidi ya asilimia 40 ya Watumishi wa Umma hawafanyi kazi licha ya kulipwa mshahara kila mwezi. Amesema hiyo ni kwa mujibu wa utafiti uliofanywa hivi karibuni na Tume ya Utumishi wa Umma nchini […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Feb 11, 2025
86 views 36 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA *📌 Asema Serikali imeweka ruzuku kwenye miradi ya umeme Vijijini.* Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema,Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Mamlaka ya Udhibiti Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imeweka mwongozo wa gharama za kuunganisha umeme kwa wateja, ambapo gharama hizo hutofautiana kulingana na hali ya […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Feb 10, 2025
73 views 2 mins

Na Beatus Maganja Wahenga walisema isiyo kongwe haivushi, lakini leo Kilwa imetuvusha. Hayawi hayawi yamekuwa, leo Tanzania inathibitisha yale yaliyosemwa na wahenga miongo kadhaa pale mji wa kihistoria wenye historia ya kipevu mji wa Kilwa Mkoani Lindi unaposhuhudia mpishano wa meli kubwa za kifahari za Kitalii zilizosheheni watalii kutoka pembe za dunia zikishusha mamia ya […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Feb 10, 2025
63 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Rais wa Zanzibar  na  Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi  ameeleza kuwa Serikali  inaelewa kwamba utekelezaji wa Sheria  kwa uadilifu  na kuwepo  kwa mifumo imara ya upatikanaji wa haki  ni msingi muhimu katika kujenga na kukuza Imani ya wananchi kwa  Serikali yao, kuleta amani na utulivu  katika nchi  pamoja […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Feb 10, 2025
80 views 35 secs

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Tanzania Bara Stephen Wasira amesema katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu Chama kitaendelea kushika dola kwa wingi wa kura na si mtutu wa bunduki. Pia, amesema CCM imebeba maono na fikra za ukombozi na kwamba itaendelea kuwa wakili wa kuwatetea Watanzania. Wasira aliyasema hayo leo Februari 10, 2025 alipokuwa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...