FEATURE
on Aug 1, 2023
466 views 2 mins

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemkamata na linamuhoji kwa kina Selemani Agai Gaya mwenye umri 18) mkazi wa Kigamboni, kwa tuhuma za kutoa lugha ya matusi mtandaoni dhidi ya Viongozi wakuu wa Serikali Tanzania kwa kutumia mitandao wa kijamii. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam Leo jumanne 01 […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jul 31, 2023
460 views 2 mins

WAZIRI wa Nishati January Makamba amezindua taarifa ya mwaka wa Fedha 2021/2022 na Mpango Mkakati wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) wa miaka 10. Akizungumza katika hafla ya uzinduzi huo uliofanyika leo Julai 31, 2023 jijini Dar es Salaam, Waziri Makamba ameipongeza TANESCO kwa hatua nzuri kuelekea mabadiliko makubwa ya Shirika ambayo hayajapata kutokea. “Hii […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jul 30, 2023
384 views 3 mins

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akihutubia maelfu ya wana CCM na wananchi waliojitokeza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Tanganyika Pakers Kawe jijini Dar es Salaam leo Julai 29,2023. …………………………… Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kinachofanywa na Serikali katika suala la bandari ni utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jul 29, 2023
438 views 2 mins

“Mkesha wa Mwenge wa Uhuru 2023 kuambatana na kusherekea mafanikio ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan. Mkuu wa Wilaya ya Momba, Mhe. Fack Lulandala amesema usiku wa mkesha wa Mwenge wa Uhuru 2023 katika Halmashauri ya Mji Tunduma itakuwa ni sherehe kubwa ya kusherehekea mafanikio ya uongozi wa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa […]

FEATURE
on Jul 29, 2023
215 views 2 mins

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana ametoa wiki moja kwa ofisi ya Maliasili Wilaya ya Itilima, kurejesha fedha Sh milioni 11 za maendeleo ya Kijiji cha Mbogo. Kinana pia amemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dk Yahaya Nawanda na Mkuu wa Wilaya ya Itilima Faiza Salum kuhakikisha fedha hizo zinarejeshwa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jul 28, 2023
290 views 3 mins

SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limeeleza juhudi zinazofanywa katika kuhakikisha nishati ya Gesi inapatikana kwa uhakika na hatimaye kuwezesha upatikanaji wa nishati ya uhakika ya umeme nchini. Akizungumza na waandishi wa habari leo Julai 28, 2023 jijini Dar es Salaam Kaimu Meneja Uendelezaji wa Uzalishaji wa Gesi TPDC Mhandisi Felix Nanguka amesema kwamba […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jul 28, 2023
244 views 2 mins

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahman Kinana, amesema kuwa jukumu la kujiendeleza ni la mtu binafsi na kwamba hakuna anaeweza kumwendeleza mtu mwingine. Amesema hata serikali haiendelezi watu bali hujiendeleza kutengeneza mazingira mazuri kwa wananchi kujiendeleza kupitia fursa mbalimbali. Kinana ameyasema hayo leo Julai 28, 2023 wakati akizingumza na waganga wa tiba asiili […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jul 28, 2023
264 views 4 mins

AFISA ustawi wa jamii manispaa ya Ubungo jijini Dar Naamini Nguve, amewataka wanandoa nchini wajitahidi kumaliza migogoro yao ili kupunguza wimbi la watoto wa mitaani. Nguve amesema kuwa katika kituo cha mabasi maarufu Magufuli kilichopo manispaa ya Ubungo jijini hapa wamekuwa wakipokea makundi ya watoto chini ya miaka 18, vijana, wazee pamoja na walemavu kutoka […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jul 26, 2023
472 views 23 secs

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahman Kinana ameweka jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa ukumbi wa CCM Mkoa wa Mara Kinana, ameweka jiwe hilo la msingi leo Septemba 26,2023 ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake akikagua miradi na utekekezaji wa ilani ya Chama hicho. Akizungumzia mradi huo, Katibu wa CCM Mkoa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jul 26, 2023
438 views 21 secs

Wanaharakati wa kujitegemea wa kutetea haki za binadamu Deusedith Isaac SokaAmelaani vikali Kwa wale ambao walioweza kufanya vurugu Katika mkutano wa chadema ambao uliofanyika Katika viwanja vya temeke buriaga Kwa kushambuliwa Kwa waandishi wa habari wa mwananchi Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam Leo jumatano 26 julai amesema gari ya wananchi ilifaanyiwa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...