FEATURE
on Aug 5, 2023
500 views 4 mins

Meneja Uhusiano na masoko wa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) Athumani Shariff amesema kuwa tangu kuanzishwa kwa RUWASA mwaka 2019 wamekuwa kila mwaka wakishiriki maonesho ya kilimo kwa maana ya Nane Nane katika Mikoa ya Simiyu na Mbeya kutokana na mamlaka hiyo kuwa mdau mkubwa wa sekta ya kilimo nchini. Meneja […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 5, 2023
352 views 2 mins

Tanzania yatajwa ni nchi ya pili Afrika Kwa kuwa na ongezeko kubwa la watalii Katika robo ya kwanza ya mwaka 2023 na Nchi ya kwanza inayofatia ni Ethiopia na ya tatu ni Morocco Pia Tanzania ni nchi ya pili kuingia ushiriki wa mkutano wa shirika la UN la utalii Kanda ya Afrika (UNWTO-CAF) Katika ushirikiano […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 5, 2023
309 views 45 secs

WAKALA wa Majengo Tanzania (TBA) umetekeleza Miradi wa Maghara ya kuhifadhia chakula katika Mikoa Nane ya Tanzania ili kuwasaida wakulima kuhifadhia mazao yao. Miradi hiyo ni ya teknolojia ya kisasa na inatekelezwa katika Mikoa hiyo ili kusaidia utunzaji wa mazao ya wakulima na kuongeza kuwa mikoa hiyo ni pamoja na ya Nyanda za Juu kusini, […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 4, 2023
363 views 2 mins

Taasisi ya Dayosisis ambayo inayolea watoto walemavu na wasiojiweza ambayo anakabiliwa na changamoto ya miundombinu mbalimbali ikiwemo uchakavu na ukosefu wa vitendea kazi. Taasisi hiyo inafanya harambee Kwa ajili ya kuwasaidia watoto walemavu ambao wasioona na wale wenye utindio wa ubongo na akili, harambee hiyo itafanyika mlimani city na mgeni rasmi atakuwa RAIS wa Jamhuri […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 4, 2023
374 views 2 mins

Wanasheria wazalendo wamesema Moja ya sera ni uwekezaji Katika sekta ya kiuchumi na kijamii Katika kutekeleza sera za uwekezaji serikalini pia Ina mamlaka ya kuingia makubaliano na mwekezaji wa ndani au nje ya nchi kuendeleza na kuboresha rasilimali tulizonazo kwa manufaa ya jamii na taifa kwa ujumla. Wakizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 3, 2023
985 views 25 secs

Moja ya miradi maarufu ya majengo katika makutano ya Morocco jijini Dar es Salaam, inayoitwa ‘Morocco Square’ imekamilika kwa asilimia 97, linasema Shirika la Nyumba la Taifa (NHC). NHC pia inasema kuwa tayari asilimia 94 ya maduka na maduka ya reja reja yamekodishwa, huku hoteli hiyo yenye vyumba 81 pia tayari imenunuliwa na kampuni ya […]

FEATURE
on Aug 3, 2023
431 views 30 secs

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) linalomilikiwa na Serikali, Hamad Abdallah, alisema Tanzania inakosa mapato mengi kwa kuwanyima wageni haki ya kumiliki ardhi nchini. Anasema kuwa nchi nyingine, kama vile Rwanda, Kenya, na Afrika Kusini, na nchi zenye uchumi wa juu kama vile Dubai, zinaruhusu wageni kumiliki nyumba bila malipo. “Tunakosa kutumia […]

FEATURE
on Aug 2, 2023
671 views 33 secs

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amewataka Wamachinga, Bodaboda na Madereva Bajaji kuepuka maneno chonganishi ambayo yatasababisha uvunjifu wa Amani ya Taifa. RC Chalamila ametoa kauli hiyo leo Agosti 2, 2023 akizungumza katika kongamano la Wamachinga, Bodaboda na Madereva Bajaji lenye lengo la kumpongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan lililofanyika viwanja vya […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 2, 2023
358 views 24 secs

Mwenyekiti wa ccm wilaya ya kigamboni Sikunjema Yahaya Shabani amesema wanakigamboni wanaenda kuwa mabalozi Katika chama chetu Cha mapinduzi Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam mwenyekiti wa ccm wilaya ya kigamboni sikunjema yahaya Shabani kila mtanzania aliesikiliza hutuba ya viongozi mbalimbali atakuwa ameelewa jambo zima la bandari “mtu asieelewa basi atakuwa haelewi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 2, 2023
394 views 3 mins

JESHI la kujenga Taifa Nchini(JKT) limewataka wananchi wa Mkoa wa Mbeya na Mikoa jirani kuendelea kujitokeza kwa wingi kwenye banda lake lililopo katika viwanja vya John Mwakangale ambako maonesho ya nane nane yanaendelea na kwamba wafike ili kujifunza mambo mbalimbali yanayohusu shughuli za kilimo na kuongeza kuwa kwa upande wa shuguli zinazofanywa na jeshi hilo, […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...