FEATURE
on Aug 12, 2023
382 views 3 mins

Ulimwenguni kote Leo huadhimisha kilele Cha siku ya Vijana ambayo inafanyika Katika mikoa mbalimbali Kwa Vijana Kwa kutatua matatizo Yao na kujadiliana hatima ya Vijana wa watanzania.afrika na ulimwengu mzima. Siku hii ya Vijana Duniani ilianzishwa na umoja wa mataifa mnamo mwaka 1999 na kupitishwa Kwa Azimio namba 54/120 Kwani tarehe 12 Agosti ya kila […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 11, 2023
422 views 2 mins

Bodi ya filamu imefungua dirisha la kupokea filamu Kwa ajili ya tamasha la Tuzo za filamu 2023 Tanzania ikiwa Moja wapo ya tamasha hilo ambalo linalokuza filamu za kitanzania na kuzidi kuleta chachu ya kuendeleza vipaji vya Sanaa Tuzo hizo zimekuwa msimamo wa mbele ambazo ndizo zinazoweza kukutambulisha kazi yako unayoifanya ya kutunga au kucheza […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 11, 2023
439 views 3 mins

Nchi ya Tanzania na nchi ya Malawi yaingia makubaliano wa miaka miwili Katika na ushirikiano Katika sekta ya nishati Makubaliano hayo ya understand kati ya lastcop na shirika la umeme la Malawi Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam Katika ukumbi wa hayyat regency Leo ijumaa 11 mwezi august 2023 waziri wa nishati […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 11, 2023
608 views 14 secs

Wakili wa kujitegemea ametoa maoni juu uamuzi wa mahakama Kuu kanda ya Mbeya kwenye kesi ya Kikatiba namba 5, Mwaka 2023. Tamzama hapa https://www.youtube.com/watch?v=k8HfcQVFiyk

FEATURE
on Aug 10, 2023
474 views 18 secs

Muuguzi wa Zahanati ya Kijiji cha Mawengi Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa Mkoani Njombe, Ubatizo Sanga mwenye umri wa miaka 55 amefariki baada ya kupigwa na mchi wa kinu kichwani na baadaye kubakwa na Mtoto wake Asifiwe Haule mwenye umri wa miaka 25. Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Victoria Mwanziva amethibitisha kutokea kwa tukio hilo […]

FEATURE
on Aug 10, 2023
445 views 3 mins

JESHI la kujenga Taifa (JKT) na wizara ya kilimo wametiliana saini mkataba wa mashirikiano katika kutekeleza mradi wa mashamba makubwa kuwezesha vijana kilimo biashara-Building a Better tomorrow (BBT) mbele ya Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania na amiri jeshi mkuu Mh.Dkt. Samia Suluhu Hassan. Mkuu wa Jeshi la kujenga Taifa (JKT) Meja jenerali Rajab […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 9, 2023
399 views 32 secs

Waziri wa kilimo Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo Zanzibar Mh.SHAMATE SHAAME KHAMIS amesema serikali inathamini kazi inayofanywa na Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) katika kudhibiti matumizi salama ya mionzi nchini. SHAMATA ameyasema hayo baada ya kutembelea banda la Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) katika maonesho ya Nane Nane kitaifa yanayoendelea Jijini Mbeya […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 9, 2023
525 views 17 secs

Mwigizaji staa kajala masanja amefunguka kwenye Mkutano wake na waandishi wa habari kuhusu yanayoendelea mtandaoni kumuhusu yeye na EX wake Harmonize ambapo amekiri kwamba ni kweli miezi miwili kabla hawajaachana na Harmonize alikuwa anachukua asilimia 10 kutoka kwenye kila hela aliyokuwa akiingiza Harmonize Akiongea Leo jijini Dar es salaam wakati akigewa Dili la ubalozi wa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 9, 2023
273 views 2 mins

MAMLAKA ya Huduma ya Usafiri wa Anga imewahakikishia watanzania kwamba usafiri wa sekta ya Anga ni usafiri salama zaidi kulikos sekta nyingine. Hayo yamesemwa na Katibu Mtendaji wa Baraza la Ushauri la watumiaji huduma za Usafiri wa Anga (TCAA-CCC) Innocent Kyara wakati akizungumza na waandishi wa habari siku ya kilele cha maonyesho ya wakulima katika […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 8, 2023
351 views 2 mins

Mkurugenzi Mtendaji wa MAZAO ya jamii ya kampuni ya kitanzania PULSES NETWORK (TPN) Zirack Andrew amesema jopo la waandaaji wa mkutano wa kimataifa wa chakula ambao utakaofanyika tarehe 10hadi 12 Katika viwanja vya daimond jubilee ambalo linalolenga kilimo Kwa kila mtanzania Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam Leo jumanne 08,2023 ambapo ilikuwa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...