FEATURE
on Sep 5, 2023
304 views 2 mins

Makamu wa Rais Dkt Phillip Mpango amesema Serikali inaendeza kufanyia jitihada za kuhakikisha kutimiza Mpango wa Pili wa Maendeleo Endelevu (SDG-2) ili kufikia sifuri ya njaa ifikapo 2030 na kuongeza uwezo wa nchi kuwa kama ghala la chakula la kikanda na kimataifa. Makamu wa Rais ameyasema hayo jijini Dar es Salaam katika ufunguzi wa mkutano […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 5, 2023
364 views 6 secs

Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhandisi Cyprian Luhemeja amewataka watendaji wa ofisi yake kuwa wabunifu na kufanya kazi kwa malengo yanayopimika ili kuiwezesha serikali kufikia malengo na kuwahudumia wananchi. Mhandisi Luhemeja ameyasema hayo Septemba 5, 2023 mara baada ya kukabidhiwa rasmi ofisi na aliyekuwa Katibu Mkuu wa ofisi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 5, 2023
220 views 2 mins

Rais wa AGRA Agnes Karibata amesema Kila mmoja wetu anahitaji kwa usawa na anastahili kimungu kupata chakula bora. walakini, pamoja na migogoro mingi ya kimataifa ya upotevu wa bayoanuwai, mabadiliko ya hali ya hewa na kuenea kwa jangwa, janga la COVID-19 na vita vinavyoendelea vya Urusi na Ukraine, Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 5, 2023
294 views 3 mins

Waziri wa kilimo Hussein Bashe amesema Tanzania inahitaji kiasi Cha fedha zaidi ya Tilioni 1.3 Kwa mwaka ifikapo 2025 ili Nchi ifikie lengo la kuongeza hekari milion 8 Katika masuala mbalimbali ya Kilimo. Hayo yamejiri Jijini Dar es salaam Katika kikao Cha ufunguzi wa Jukwaa la Mfumo WA Chakula Afrikan AGRF 2023 kilichowakutanisha Mawaziri wa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 4, 2023
264 views 11 secs

Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Patrobas Katambi amesema serikali imeweka mfumo wa ufuatiliaji na tathmini ya miradi na programu za vijana ili kupima matokeo ya utekelezaji sambamba na kuleta tija kwa Taifa. Mhe. Patrobas Katambi ameyasema hayo bungeni 4 Septemba, 2023 alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 4, 2023
295 views 2 secs

Chama Cha ACT wazalendo kinaunga mkono Uwekezaji WA Bandari ya Dar es salaam kati ya Serikali ya Tanzania Na Dubai DPWorld ili kuongeza ufanisi na utendaji kazi wa Bandari hio Hayo yameelezwa Jijini Dar es salaam na Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Dorothy Semu alipokitana na Waandishi WA Habari Kwa lengo la kutia ufafanuzi kuhusu […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 1, 2023
1302 views 58 secs

Msanii wa Bongofleva Haitham Kim ambaye hivi karibuni Wasanii na Wadau wengine mbalimbali walianzisha kampeni ya kusaidia kuchangisha pesa kwa ajili ya matibabu yake amefariki leo katika Hospitali ya Rufaa ya Temeke Jijini Dar es salaam. BNB ambaye ni Rafiki wa Mume wa Marehemu Haitham, ameithibitisha kuwa ni kweli Haitham amefariki leo Hospitalini hapo. Katika […]

FEATURE
on Aug 29, 2023
328 views 37 secs

SERIKALI imeendelea kutoa elimu ya kanuni mpya ya mafao ya pensheni (kikokotoo) na hadi Juni 30, mwaka huu wanachama wa mifuko ya pensheni 131,497 na waajiri 5,580 wamefikiwa na elimu hiyo. Aidha, Elimu hiyo imetolewa na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) kwa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 29, 2023
509 views 2 mins

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia na kuwahoji kwa kina askari wa kampuni ya ulinzi PASCO LTD 11, Maafisa wakala Huduma za misitu (TFS) wawili na askari Polisi 6. Akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar es salaam Leo tarehe 29 agosti 2023 Katika ofisi za makao makuu polisi post kamanda […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Aug 24, 2023
444 views 19 secs

Mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa basihaya ndugu Samson Andrew amekabidhi jezi kwa washiriki wa michuano ya adrew supa cup inayofanyika kata ya basihaya bunju jijini dar es salaam Akizungumza na waandishi wa habari wakati akigawa jezi hizo ndugu Samsoni amesema wanamtarajia mbunge wa kawe ndugu Josephat Gwajima kuwa mgeni rasmi kwenye fainali hizo ambazo […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...