FEATURE
on Sep 7, 2023
356 views 2 mins

Tanzania na Uganda inaendelea kuimarisha ushirikiano na mahusiano katika sekta ya mifugo kwa kusaini makubaliano ya udhibiti wa magonjwa ya wanyama yanayovuka mipaka na yanayo ambukiza binadam katika maeneo ya mipaka. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam Leo Alhamis 07 September 2023 Waziri wa mifugo na uvuvi Abdallah Hamis Ulega Amesema Licha […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 7, 2023
260 views 2 mins

Rais wa jamhuri ya muungano Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan amesema Kupitia serikali yake wataambatanisha viashiria na vitaashiria kufanikiwa Kwa mpango wa kilimo wa BBT Ili kuwapatia fursa Vijana kujihusisha na Kilimo. Amesema kuwa na kutaja baadhi ya viashiria hivyo ni idadi ya Vijana walio Katika mpango huo ambao wapo Zaidi 1200 Na Bado wapo […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 7, 2023
367 views 3 mins

Waziri wa Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa amesema Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu itaendelea kuweka mikakati ya kuhakikisha usafirishaji wa mizigo kwa njia ya reli unaimarishwa kwa kutenga fedha kila mwaka ili kurahisisha usafirishaji wa mizigo ya ndani na nje ya Tanzania inayosafirishwa kupitia Bandari ya Dar es […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 7, 2023
231 views 2 mins

Tanzania Imeungana tena mwaka huu ili kuashiria kwa hatua nyingine kwa ajili ya tuzo ya chakula cha Afrika. Kwa miaka mingi,wametambua na kuadhimisha watu bora na taasisi zinazozingatia mifumo ya chakula endelevu Afrika. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam Leo Alhamis 07 September 2023 Rais mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete Amesema Sisi ni […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 6, 2023
255 views 20 secs

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amewataka watendaji wake kushirikiana kwa pamoja ili wananchi wapate huduma kwa wakati Waziri Ndalichako ameyasema hayo wakati wa kikao kazi cha kujadili kazi za Ofisi hiyo pamoja na Taasisi zilizopo chini yake kilichofanyika Septemba 6, 2023 katika jengo […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 6, 2023
379 views 3 mins

Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde amelipongeza Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) kwa hatua kubwa iliyopigwa katika kipindi kifupi kutoka kuwa Shirika tegemezi na kuwa Shirika linalojitegemea huku akilitaka kuendelea kufanya kazi kwa bidii zaidi ili kufikia azma ya kuwepo kwa Shirika hilo. Aliyasema hayo Septemba 05, 2023 jijini Dodoma katika kikao kifupi na […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 6, 2023
424 views 2 mins

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango leo tarehe 06 Septemba 2023 amekutana na kufanya mazungumzo na Makamu wa Rais wa Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD) Dkt. Geraldine Mukeshimana. Mazungumzo hayo yamefanyika Ikulu Jijini Dar es salaam. Katika mazungumzo hayo, Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Mpango […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 6, 2023
308 views 49 secs

Mpango wa Serikali wa kuwatoa Watanzania kutoka kwenye umaskini kupitia kilimo unaonekana dhahiri kutokana na hatua mbali mbali inazochukuliwa kuboresha sekta hiyo. Aidha miongoni mwa hatua madhubuti za kuimarisha sekta hiyo ni pamoja ni kuongezeka kwa bajeti ya kilimo hadi bilioni 970 kwa mwaka huu, fedha hizo zimelenga kufanya mageuzi kutoka kwenye kilimo cha kutegemea […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 6, 2023
321 views 49 secs

BBT imetenga milioni 20 Kwa ajili ya kuhakikisha kuongeza vituo Katika wizara ya uvuvi na mifugo Kwa kushirikiana na mikoa ya hapa Nchini Katika vituo hivyo vituo nane ndo vilitengwa ambavyo vipo Chini ya wizara Moja Kwa Moja na BBT inaenda mpka mikoani Kwa kushirikiana na wakuu wa mikoa Katika mikoa hiyo ni Tabora,Morogoro,ambayo teali […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Sep 5, 2023
360 views 2 mins

SERIKALI imeweka mikakati itakayotekelezwa na nchi hivyo kuwa kitovu cha chakula Afrika na duniani kote,ili iweze kunufaika na tishio la baa la njaa linaloikabili dunia,kwa kuuza chakula katika maeneo mbalimbaliduniani. Mikakati hiyo ni pamoja na ile ya Kibajeti,Kisera,Teknolojia,Uwekezajina Ushirikiano baina yake na taasisi mbalimbali za ndani na nje yanchi. Hayo yanatokea wakati takwimu zinaonyesha wananchi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...