FEATURE
on Oct 12, 2023
378 views 2 mins

Wakazi Wilayani Lujewa Mkoani Mbeya wametakiwa kuitunza Miradi ya Umwagiliaji inayotekelezwa kupitia Mradi wa Usimamizi wa Maliasili na ukuzaji wa Utalii Nyanda za juu Kusini (REGROW) kwemye eneo la Madibira na Mbarali kwa kuwa miradi hiyo ni kwa ajili ya wananchi wenyewe. Wito huo umetolewa na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Kamishna […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 11, 2023
299 views 32 secs

Maonesho ya Dar Construction Expo 2023 yamefunguliwa rasmi hii leo October 11 Jijini Dar es salaam na naibu Waziri wa ujenzi Mhandisi Godfray Kasekenya. Akizungumza katika uzinduzi wa maonesho hayo naibu waziri Kasekenya amesema maonesho hayo ni muhimu kwani yamewakutanusha wadau mbalimbali wa ujenzi kutoka ndani na nje ya nchi. Kasekenya amesema kuwa sekta ya […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 11, 2023
341 views 4 mins

Rais Mstaafu Kikwete ampongeza Dkt. Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Chalinze imetekeleza Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020- 2025 kwa mafanikio Serikali imeahidi kushughulikia changamoto ya umeme iliyopo nchini kwa kasi kubwa ili tatizo hilo liweze kuisha katika kipindi kifupi kuanzia sasa. Hayo yameelezwa leo Oktoba 11, 2023 na Naibu Waziri […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 11, 2023
300 views 3 mins

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa Wizara ya Kilimo hapa nchini kufanikisha lengo lililowekwa na Wizara hiyo la kuacha kuuza Korosho ghafi nje ya nchi ifikapo mwaka 2026. Makamu wa Rais amesema hayo wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Kimataifa wa Zao la Korosho unaofanyika […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 11, 2023
250 views 58 secs

Hayo Yamesemwa leo na Mkurugenzi na Muandaaji wa Maonesho hayo Bw. Deogratius John Kilawe , alipokuwa akiongea na Waandishi wa Habari katika Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam ambapo ameeleza kuwa Maonesho hayo yana lengo la Kuwakutanisha kwa Pamoja Wadau wa Sekta ya Ujenzi na kujadili njia mbalimbali zitakazosaidia kuinua Sekta hiyo pamoja […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 10, 2023
290 views 3 mins

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo amekutana na kufanya mazungumzo na Afisa Mtendaji Mkuu wa benki ya Standard Chartered, Bw. Herman Kasekende na kujadili fursa za uwekezaji na uwezeshaji wa miradi ya mazingira na uhimilivu wa mabadiliko ya tabianchi hapa nchini. Katika mazungumzo hayo yaliyofanyika katika […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 10, 2023
376 views 2 mins

Kutokana na hali iliyokuwa na matukio Kwa baadhi ya maeneo hasa pembezoni mwa nchi kukosa mafuta hasa kipindi Cha kubadilishwa kwa Bei ya mafuta kunasababisha kuwa na usumbufu mkubwa Kwa wananchi na madhara ya kiuchumi EWURA imeendelea kuchukua hatua mbalimbali za kisheria ikiwemo kuvifungia baadhi ya vituo vilivyothibitika kuficha mafuta kinyume na kanuni na Miongozo […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 9, 2023
311 views 4 mins

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo amekutana na kufanya mazungumzo na wawakilishi wa mashirika ya kimataifa yanayofadhili miradi ya mazingira na mabadiliko ya tabianchi inayotekelezwa katika maeneo mbalimbali nchini. Katika mazungumzo hayo yaliyofanyika leo Jumatatu (Oktoba 9, 2023) katika Ofisi ndogo za Ofisi Makamu wa Rais […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 8, 2023
288 views 3 mins

Kapinga aonya watakaokwamisha mradi Naibu Waziri wa Nishati, Mhe.Judith Kapinga amesema kuwa, shilingi Bilioni 163 zitatumika kuunganisha Mkoa wa Katavi katika Gridi ya Taifa na hivyo kuwezesha mkoa huo kupata umeme wa uhakika na unaotabirika. Mhe. Kapinga amesema hayo wakati akizungumza na Wananchi wa Wilaya ya Mpanda mkoani Katavi wakati wa ziara Katibu Mkuu wa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 8, 2023
391 views 42 secs

Waziri wa Maliasili na Utalii na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki amesema mashirikiano baina ya Makumbusho ya Taifa la Tanzania na Oman yatanufaisha pande zote mbili katika uhufadhi wa malikale. Mhe. Kairuki ameyasema hayo tarehe 7 Oktoba 2023 katika hafla fupi ya kufunga kikao kazi cha kujadili mpangokazi wa utekelezaji wa Mkataba wa Mashirikiano baina ya […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...