FEATURE
on Oct 26, 2023
268 views 2 mins

Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es salaam Komredi Abbas Mtemvu amewataka viongozi wa serikali waliopata nyadhifa kuanzia ngazi ya Serikali za Mitaa ,Wilaya hadi Mkoa kushirikiana na Madiwani na Wabunge wa Viti maalumu wanapotaka kufanya ziara katika kata kujua changamoto zinazowakabili na kuzipatia ufumbuzi. Agizo hilo amelitoa leo Jijini Dar es salaam Katika Shughuli […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 26, 2023
297 views 2 mins

Mkuu wa Wilaya ya Kaliua Mhe. Dr. Rashid Chuachua amesema shughuli za uhifadhi na Utalii hususani Uwindaji wa Kitalii zinazofanywa na kusimamiwa na Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) zina faida kubwa wilayani humo. Ameyasema hayo Oktoba 24, 2023 katika ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo kwa jamii iliyofanywa na TAWA wilayani Kaliua. […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 26, 2023
229 views 3 mins

TAFIRI watakiwa kuwa kimbilio la wavuvi Asisitiza utunzaji wa mazingira kupewa kipaumbele Ahimiza kuongeza kasi kuuza bidhaa nje ya nchi Dkt. Biteko Azindua ‘App’ kusaidia Sekta ya Uvuvi Dar es Salaam Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewaagiza watendaji wa Sekta ya Uvuvi nchini kuifanya Sekta hiyo kuwa nyenzo muhimu […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 26, 2023
225 views 3 mins

Waziri mkuu Kassim Majaliwa amezindua mashine ya kuchanganya virutubisho kwenye vyakula na kuwaomba wadau wote wa maendeleo kuunga mkono juhudi hizo ili kuwezesha mashine hizo kuzalishwa kwa wingi kutumika katika maeneo yote hapa nchini. Mashine iliyozinduliwa inatumika kuongeza virutubisho muhimu katika vyakula hususan unga wa mahindi, virutubisho hivyo ni pamoja na vitamin B na folic […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 26, 2023
569 views 3 mins

PAUL Makonda apokelwa kwa staili ya aina yake baada ya kutumia usafiri bodaboda wakati akienda Ofisi ndogo za Chama Cha Mapinduzi(CCM)zilizopo Mtaa wa Lumumba jijini Dar ea Salaam ambako yamefanyika mapokezi makubwa. Mapokezi ya Makonda yamefanyika leo jijini Dar es Salaam ikiwa ni siku chache tu Chama Cha Mapinduzi( CCM) kuteuliwa kuwa Katibu wa Itikadi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 25, 2023
405 views 3 mins

SERIKALI kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imefadhili mradi wa ujenzi wa vyumba vya madarasa mawili, ofisi moja ya walimu na jumla ya madawati 30 katika shule ya msingi Usinge iliyopo wilaya ya kaliua Mkoani Tabora Mradi huu ambao tayari umekwishakamilika na kuanza kutumika umegharimu kiasi cha Tsh. Millioni 50 (50,000,000/=) ambazo ni […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 25, 2023
435 views 53 secs

Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) mkoani Lindi imekamilisha ujenzi wa daraja la Mbwemkuru lenye urefu wa mita 75 na kufungua barabara ya Ruangwa-Nangurugai- Kiangara-Mirui-Mbwemkuru yenye jumla ya Km 65. Meneja wa TARURA Wilaya ya Ruangwa, Mhandisi Mashaka Narubi ameeleza kuwa kukamilika kwa daraja hilo imekua ni fursa kwa wananchi kusafiri kwa urahisi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 25, 2023
223 views 3 mins

Mazingira Uwekezaji Sekta ya Madini, sasa njia nyeupe Dar es Salaam Imeelezwa kuwa, Sekta ya Madini ni nguzo muhimu na chachu ya maendeleo ya uchumi wa nchi kupitia rasilimali madini iliyopo nchini. Hayo yameelezwa leo Oktoba 25, 2023 na Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko alipomwakilisha Rais wa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 25, 2023
577 views 4 mins

Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) katika kuongeza mazao mapya ya utalii, hivi karibuni wamegundua eneo jipya lenye hazina kubwa ya Nguzo za Asili (Natural Pillars) zenye muonekano wa kuvutia ndani ya Hifadhi ya Taifa Ruaha. Nguzo hizi zilizosimama mithili ya uyoga na kuvutia kwa macho zinasemekana zimetokana na kulika (kumomonyoka) kwa miamba yenye […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Oct 25, 2023
338 views 48 secs

Tume ya Madini kwa kushirikiana na Taasisi zilizopo chini ya Wizara ya Madini leo Oktoba 25, 2023 inashiriki katika Mkutano wa Kimataifa wa Uwekezaji Sekta ya Madini unaoendelea katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. Viongozi wa Tume wanaoshiriki ni pamoja na Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula, […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...