FEATURE
on Nov 9, 2023
337 views 57 secs

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) amesema kuwa suala linalohusisha ng’ombe 806, kondoo 420 na mbuzi 100 waliokamatwa Serengeti na kupigwa mnada baada ya Mahakama ya Musoma kutoa hukumu, limeshahitimishwa kimahakama baada ya taratibu zote kukamilika. Waziri Kairuki ameyasema hayo leo Novemba 9,2023 Bungeni jijini Dodoma alipokuwa akijibu hoja ya Mbunge wa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 9, 2023
262 views 2 mins

●Yatachimbwa kwa kipindi cha miaka 30 ●Ni mradi wa ushirikiano wa Kampuni mbili ● Bilioni 18.6 zimelipwa kupisha mradi wa Heavy Mineral Sand Kigamboni Serikali kupitia Wizara ya Madini itaanza rasmi uchimbaji wa Madini Adimu yaani _Rare Earth Element_ (REE) kupitia kampuni ya uchimbaji madini ya Mamba ijulikanayo kama _Mamba Minerals Corporation Limited_ (MMCL) yenye […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 9, 2023
298 views 2 mins

Aahidi kuendeleza ushirikiano katika kukuza uchumi Korea Kusini yaahidi kuwekeza zaidi Tanzania Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Biashara kutoka nchini Korea Kusini, Mhe.Ahn Dukgeun ambapo  ameeleza kuwa, Tanzania na Korea Kusini zitaendelea kudumisha ushirikiano uliopo katika nyanja za kiuchumi na kijamii ili […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 9, 2023
317 views 2 mins

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mhe Albert Chalamila akiwa ameambatana na Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe Edward Mpogolo leo Novemba 8,2023 amefanya ziara kwa treni za mjini kutoka stesheni ya Kamata kwenda Pugu kuona adha wanazokumbana nazo abiria.  Mhe Albert Chalamila alitumia usafiri huo ili kuweza kuwasikiliza abiria na kuona kero na […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 8, 2023
189 views 3 mins

Mahenge kunufaika na mradi wa madini ya Kinywe Kuboresha sekta ya Maji, Afya na Miundombinu Korea Kusini yaridhishwa na miundombinu ya Reli nchini Tanzania imefungua milango ya uwekezaji katika Sekta ya Madini kwa nchi ya Korea ya Kusini ikiwemo kuendeleza ushirikiano wa kikazi katika kufanikisha utekelezaji wa mikakati ya Vision 2030:MadinI Maisha na Utajiri. Hayo […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 8, 2023
299 views 4 mins

Awapongeza kwa kushusha gharama za uagizaji mafuta Asisitiza EWURA kudhibiti vitendo vya urasimu na rushwa mahali pa kazi Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Watendaji na Watumishi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kuzingatia maslahi ya Watanzania na maslahi ya nchi katika kazi zao […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 7, 2023
320 views 24 secs

Wakandarasi na wa watoa huduma 42 wapatiwa kazi Dodoma Imeelezwa kuwa ujenzi wa Mradi wa bomba la mafuta kutoka Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani mkoani Tanga unashirikisha wakandarasi wazawa kutoka mkoani Kagera. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Judith Kapinga, kwa niaba ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 7, 2023
364 views 13 secs

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo Novemba 06, 2023 ameongoza Viongozi mbalimbali wa Serikali katika mazishi ya Mzee Issa Nangalapa ambaye ni kaka wa Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, Wilaya ya Ruangwa, Lindi. Akizungumza katika ibada ya mazishi Dkt. Biteko amempa pole Mheshimiwa Majaliwa na kwamba ujio wa viongozi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 6, 2023
286 views 2 mins

Mbunge wa Jimbo la Kibaha mjini Silvestry Koka amempongeza kwa dhati Rais wa awamu ya sita Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kukubali kutoa kiasi shilingi milioni 252 kwa ajili ya ukarabati wa daraja la mto Mpiji ili liweze kuwasaidia wananchi wa kata ya pangani kuvuka kwa urahisi hasa katika kipindi hiki cha mvua. Koka ametoa pongezi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 5, 2023
471 views 2 mins

Wananchi wametakiwa kuwapa ushirikiano Askari wa Wanyamapori Vijijini (VGS) ili waweze kutekeleza Majukumu yao vizuri ya ulinzi wa Maliasili pamoja na kuwalinda wanavijiji dhidi ya Wanyamapori wakali na waharibifu. Wito huo umetolewa na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Kamishna Benedict Wakulyamba kwenye ziara yake ya kukagua utekelezaji wa mradi wa Kuboresha Usimamizi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...