FEATURE
on Nov 16, 2023
314 views 5 mins

Aagiza kituo cha Polisi, Afya, Taa za Barabarani kuwekwa Kijiji cha Msimbati Wananchi Kijiji cha Songosongo kupatiwa umeme, Maji, Kivuko Aagiza Vijiji vya Msimbati, Madimba na Songosongo kupata gawio la Ushuru wa Huduma Ataka TANESCO kuja na suluhisho la changamoto ya umeme Lindi/Mtwara Mtwara Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 15, 2023
339 views 6 mins

MBUNGE wa Jimbo la Kwela na Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge na uwekezaji wa mitaji ya umma ,Deus Sangu Ameongoza kamati hiyo kwa kufanya ziara ya kutembelea miradi mbalimbali inayoendeshwa na Kampuni ya SUMAJKT ya uzalishaji Mali. Amesema kipekee wamepata fursa ya kutembelea sehemu kuu mbili kwanza wametembelea Kampuni tanzu ya uzalishaji Kwa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 14, 2023
312 views 39 secs

Moja ya jukumu la Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) ni kukagua mbolea zinazozalishwa nchini au kuingizwa nchini kutoka nje ya nchi kabla ya kumfikia mkulima. Jukumu hilo ni takwa la kisheria na linatekelezwa kikamilifu ambapo kila muingizaji wa mbolea huhakikisha mbolea yake inakaguliwa na kupewa kibali cha kuingia sokoni. Leo tarehe 14 Novemba, […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 14, 2023
284 views 3 mins

Aagiza Mkurugenzi wa Huduma kwa wateja Tanesco kuondolewa Asisitiza miradi ya mafuta ya Gesi Asilia kubadilisha maisha ya wananchi Msimbati – Mtwara Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameagiza kuondolewa kwa Meneja Mawasiliano wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kutokana na kushindwa kutoa taarifa mbalimbali na kutofanya mikutano […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 11, 2023
332 views 3 mins

Kituo Kujaza gesi kwenye magari 800 kwa siku Serikali kuwapa ushirikiano wawekezaji Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo amezindua kituo cha kwanza cha kisasa cha kujazia gesi asilia kwenye magari na karakana ya kuweka mfumo wa gesi asilia ikiwa ni muendelezo wa utekelezaji wa mipango ya Serikali kuchochea matumizi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 11, 2023
544 views 44 secs

Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Komredi Paul Makonda akiendelea na ziara yake katika Mikoa ya Kanda ya Ziwa amefika kumsalimia Bibi Suzana Magufuli ambaye ni Mama Mzazi wa aliyekuwa Rais wa awamu ya 5 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati John Pombe Magufuli, Nyumbani kwake Chato mkoani Geita Makonda anaendelea […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 11, 2023
332 views 3 mins

Kampuni ya bima ya afya ya jubilee Leo imezindua mpango wa ustawi unaoitwa MAISHA FITI Katika soko la Tanzania kwani kampuni hiyo inaashiria hatua muhimu kuelekea kujitolea Kwa kampuni kukuza ustawi wa kimwili na akili kwa wateja wake Akizungumza na Waandishi wa habari jijini Dar es salaam Leo ijumaa 10,2023 Katika viwanja vya farasi mkurugenzi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 10, 2023
511 views 9 mins

MBUNGE wa Jimbo la Ulanga na Mkurugenzi wa kampuni ya Ruby International limited inayojishughhulisha na uchimbaji pamoja na ununuzi wa madini ya vito (SIPNEL)Tanzania na nje ya nlchi Salim Hasham Amesema wanaendelea kufanya shughuli hizo ikiwa lengo kubwa ni kupata riziki na kusaidia nchi Kwa ajili ya kusapoti kauli mbiu ya Visionย  2030 madini ni […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 9, 2023
428 views 2 mins

Sasa upungufu wa umeme wabakia 218 MW kutoka 421 MW. Hali ya upatikani umeme nchini imeimarika na sasa upungufu wa umeme umebakia 218 MW. Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga, tarehe 9 Novemba, 2023 Jijini Dodoma wakati akijibu maswali ya Wabunge waliotaka kufahamu mpango wa Serikali katika kumaliza changamoto za umeme […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 9, 2023
350 views 4 mins

DKT BITEKO ASEMA NI KIELELEZO CHA USHIRIKIANO WA NCHI HIZO MBILI Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Uganda zimetia saini mkataba mahsusi utakaowezesha kuanza kwa kazi ya upembuzi yakinifu wa Mradi wa Ujenzi wa Bomba la Kusafirisha Gesi kutoka Tanzania kwenda Uganda. Mkataba huo umesainiwa leo jijini Dodoma na […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...