FEATURE
on Nov 27, 2023
520 views 46 secs

Waziri Ujenzi, Innocent Bashungwa amewahakikishia Wananchi wa Wilaya Mpwapwa kuwa Serikali ipo mbioni kusaini mkataba wa Ujenzi kwa kiwango cha lami Barabara ya Kongwa Jct- Ng’ambi -Mpwapwa yenye kilometa 32. Bashungwa ameeleza hayo kwa njia ya simu wakati alipotakiwa kutoa ufafanuzi na Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa CCM Taifa – UWT, Mama Mery Chatanda […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 26, 2023
286 views 5 mins

Akemea vikali wahujumu wa miundombinu ya umeme, Asema Serikali iko kazini, Itawashughulikia Ataka TANESCO kusikiliza na kujibu Wateja kwa haraka Asisitiza utunzaji wa Mazingira Arusha Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kukata umeme kwa wadaiwa wote wasiolipa gharama za kutumia umeme ambapo Shirika hilo […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 26, 2023
286 views 2 mins

Chama Cha Wananchi CUF kimelaani vikali Kwa kuvunjiwa mkutano wao ambao ulikuwa unafanyika Katika viwanja vya buguruni sheli na polisi kuwakamata viongozi 7 bila ya kuwa na kibali maarum Akizungumza na Waandishi wa habari jijini Dar es salaam mwenyekiti wa chama Cha Wananchi CUF Profesa Ibrahim Lipumba Amesema amehuzunishwa na kitendo hicho Kwa kukamatwa Kwa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 26, 2023
502 views 3 mins

Awataka kuchukia rushwa na kulinda Maliasili kwa Wivu Mkubwa* Apongeza Wizara ya Maliasili na Utalii kwa usimamizi wa Sekta Kilimanjaro Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametunuku vyeti vya ngazi mbalimbali kwa wahitimu 439 wa Chuo cha Usimamizi wa Wanyamapori cha Mweka, mkoani Kilimanjaro ambapo amewaasa kuwa chochote watakachofanya kuchukia […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 26, 2023
324 views 3 mins

Na Beatus Maganja Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya TAWA Dr Simon Mduma amesema mpango mkatati wa kibiashara wa kuendeleza shughuli za utalii eneo la Makuyuni Wildlife Park uliondaliwa na Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA unatarajiwa kuiingizia Serikali mapato makubwa ikiwa ni pamoja na kunufaisha jamii zinazozunguka eneo hilo Dr Mduma […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 24, 2023
284 views 2 mins

Ikiwa ni ziara yake ya pili waziri majaliwa mpaka Sasa na akiendelea kutembelea mkoa wa songwe akitembelea vijiji vitongoji na Halmashauri zake na kutembelea miradi mbalimbali na akizindua miradi ya Ruwasa,shule, hospital Waziri majaliwa Amesema ziara yangu ni maarumu Kwa ajili ya kukagua miradi ya maendeleo inayojengwa Katika maeneo ya wananchi “Miradi hii ambayo Dkt.Samia […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 24, 2023
337 views 2 mins

Waziri mkuu kassim majaliwa Leo amezindua mradi wa umeme wa REA vijijini na vitongoji Katika mkoa wa songwe Waziri ameyasema hayo wakati akiwa Katika ziara yake ambayo inayoendelea Katika mkoa wa songwe na ameyazungumza hayo akiwa Katika Kijiji Cha Udugura Amesema jukumu Moja sisi wasaidizi Mhe.Rais Samia ametupa ni kuhakikisha kila mtanzania anaishi kwenye nyumba […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 24, 2023
325 views 3 mins

Akaribisha kampuni za China kuwekeza Sekta ya Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe.Dkt. Doto Biteko, leo amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa China nchini Tanzania, Mhe. Chen Mingjian ambapo walizungumza masuala mbalimbali ikiwemo uhusiano uliopo kati ya Tanzania na China na uwekezaji kwenye miradi ya Nishati. Mazungumzo hayo yamefanyika jijini Dar […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 24, 2023
434 views 54 secs

Mkoa wa Songwe ni mkoa mpya ambao umeanzishwa mwaka 2016 lakini jumla ya mtandao Km 1073.32, Km 256 zote ni za lami lakini Km 816 ni barabara za Mkoa,ni za changarawe” Akizungumza na wananchi Katika ziara ya waziri mkuu mkoani songwe Meneja wa wakala wa barabara Tanzania Mhandisi Suleiman Bishanga Amesema Mkoa wa Songwe Kwa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Nov 23, 2023
465 views 2 mins

Chama Cha mapinduzi ccm kimeweza kuwasajili wanachama wake 130 ambao ni wanafunzi wa Chuo Cha st.joseph na st.maria na wamepata kuelewa Itikadi ya Chama cha mapinduzi. Akizungumza na Waandishi wa habari jijini Dar es salaam mwenyekiti wa serikali ya mtaa dovya lazaros mwakiposa amesema kati ya wanafuzi hawa Kuna viongozi ndani Yao wa badae lakini […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...