FEATURE
on Jan 17, 2024
406 views 2 mins

Na. Beatus Maganja Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Usimamizi Wanyamapori Tanzania – TAWA amezindua mradi wa jengo la ofisi lenye jumla ya vyumba 8 vikiwemo vyumba 6 vitakavyotumika kama ofisi, chumba cha mikutano, stoo pamoja na vyoo viwili, mradi unaotajwa kugharimu zaidi ya Tsh. Millioni 250. Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa jengo hilo […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 16, 2024
520 views 2 mins

Mkurugenzi wa Bandari ya Dar es Salaam, Mrisho Seleman Mrisho amesema kuwa wao kama bandari wanajivunia kupokea meli kubwa ya watalii kwakuwa matarajio yao ni kupokea meli kubwa zaidi ya hiyo kwani tayari wameshafanya maboresho kadhaa ikiwemo kuongeza kina cha maji na mengine tofauti na ilivyokuwa awali kabla ya maboresho. Akizungumza na waandishi wa habari […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 16, 2024
544 views 2 mins

Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Utalii Tanzania, Damasi Mfugale amesema kuwa utalii wa meli ambao kwa sasa ni zao la kimkakati nchini unakwenda kukua kwa kiasi kikubwa kadri siku zinavyokwenda ambapo idadi ya watalii itaendelea kuongeza. Mfugale ameyasema hayo leo Januari 16, 2024 wakati wa mapokezi ya meli kubwa iliyotia nanga katika bandari ya Dar […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 15, 2024
366 views 5 mins

Mkurugenzi wa Bandari, Mrisho Mrisho amesema kwa mwaka huu wa fedha, 2023/24 wanatarajia kuhudumia makasha zaidi ya Milioni Moja na laki mbili. Alisema kwa mwaka wa fedha 2022/23 Bandari ya Dar es Salaam walihudumia shehena Tani milioni 21.46, na malengo kwa mwaka uliopita ilikuwa ni kuhudumia Tani milioni 19.6 ambapo Tani hizo walizozihudumia walifanikuwa kuvuka […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 15, 2024
428 views 2 mins

Na. Beatus Maganja Kamishna wa Uhifadhi wa TAWA Mabula Misungwi Nyanda ameeleza kufurahishwa kwake na ubora wa viwango vya ujenzi wa karakana ya matengenezo ya magari na mitambo iliyojengwa Kanda ya Kati ya TAWA wilayani Manyoni, karakana inayotajwa kuwa ni kubwa kuliko karakana zote zilizojengwa na taasisi hiyo. Ameyasema hayo Januari 14, 2024 akiwa katika […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 14, 2024
469 views 3 mins

Makonda awavaa Chadema, “wamezoea kuharibu utaratibu na kupotosha” Awajibu kwa hoja upotoshaji wao unaolenga kumtweza Rais Samia na kudhalilisha Watanzania Amjibu Mbowe asitumie agenda ya maandamano uchaguzi wao Awataka Mbowe, Lissu na Mnyika kwenye mdahalo kabla ya maandamano Ampongeza Lissu kupuuza maandamano, kwenda AfCON Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Itikadi, Uenezi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 14, 2024
322 views 2 mins

#Mameneja wa Mikoa wa TARURA nchi nzima watakiwa kufanya ukaguzi wa madaraja na mifereji Mwanza Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mhandisi Victor Seff ameagiza Daraja la Mwananchi lililopo Kata ya Mahina jijini Mwanza kuanza kukarabatiwa mara moja kufuatia kuharibiwa na Mvua zinazoendelea kunyesha jijini hapa. Mhandisi Seff ameyasema hayo […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 13, 2024
418 views 56 secs

Mkurugenzi wa kampuni ya biashara ya mitandao Dr Queen Malugu Amesema Kuna watu wengi ambao wanaosoma wapo Kwa ajili ya kuajiliwa lakini yakati hizi ni ngumu sana kuajiliwa lakini wapo Kwa ajili ya kuisaidia serikali kwani Bado tunamitaji midogo Hayo ameyasema Leo Tarehe 13,2024 Katika Tafrija ambayo walioifanya wafanyabiashara hao pamoja na mkurugenzi wao wa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 13, 2024
334 views 47 secs

_Atuma salamu za Shukrani kwa Mheshimiwa Rais Samia_ Waziri wa Maji Mhe.Jumaa Aweso (Mb) amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa jitihada zake katika kuhakikisha majengo ya Wizara mbalimbali katika mji wa serikali yanakamilika ikiwa ni pamoja na jengo la Wizara ya Maji katika kuhakikisha wafanyakazi wa Wizara […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 12, 2024
347 views 59 secs

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM Mamlaka ya dawa ya vifaa tiba TMDA yakanusha juu ya uwepo wa dawa duni ya matoleo ya dawa aina ya fluconazole ya vidonge ya miligramu 200 yaliyotengenezwa na kiwanda Cha universal corporation kilichopo Kikuyu nchini Kenya Tarehe 29 desemba 2023 TMDA iliweza kupokea taarifa iliyotolewa na taasisi ya udhibiti […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...