FEATURE
on Jan 23, 2024
483 views 3 mins

Na Richard Mrusha Kitulo AFISA Mhifadhi mkuu wa Kanda ya Kusini Jonathan Kaihura Ametoa wito Kwa watanzania kujenga tabia ya kutembelea vivutio mbalimbali vilivyopo katika hifadhi zetu hapa nchini na hasa hifadhi ya Taifa ya kitulo iliyopo katika mikoa ya Njombe wilayani Makete. Na Mkoa wa Mbeya wilaya ya Rungwe na mbeya vijijini Amesema kuwa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 20, 2024
575 views 2 mins

Na. Beatus Maganja Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Dkt. Batilda Salha Burian ameipongeza Wizara ya Maliasili na Utalii, Bodi na Menejimenti ya Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA kwa jitihada za dhati za kukuza utalii Mkoani Tabora. Dkt. Batilda alitoa pongezi hizo Januari 15, 2024 alipotembelewa na Kamishna wa Uhifadhi wa TAWA […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 19, 2024
403 views 5 mins

*๐Ÿ“ŒDkt. Biteko asema gharama ya mafuta ni nafuu kulinganisha na nchi jirani* *๐Ÿ“ŒAsema kampuni ya mafuta TANOIL inaboreshwa ili kuleta ufanisi* *๐Ÿ“ŒAsisitiza PBPA ni nguzo ya Serikali katika uhakika wa upatikanaji mafuta* *๐Ÿ“ŒPBPA yazidi kudhibiti upotevu wa mafuta* Dodoma Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa, juhudi zinazofanywa na […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 19, 2024
404 views 11 secs

NA Mwandishi Wetu Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi , Uenezi na Mafunzo Ndg. Paul Makonda amempigia simu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo Mhe. Jery Silaa na kumpa maelekezo ya CCM ya kumtaka kufika katika Kata ya Bunju leo Ijumaa tarehe 19 na kukutana na Mbunge wa Jimbo hilo Mhe. Josephat Gwajima […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 19, 2024
467 views 56 secs

Na Mwandishi Wetu Katiba wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi, Itikadi , Uenezi na Mafunzo Ndg. Paula Makonda akutana na Wajumbe wa Kamati ya Siasa Mkoa wa Dsm na Wilaya ya Kinondoni pamoja na Viongozi wengine mbalimbali kutoka Wilaya zingine 4 zinazounda jumla ya Wilaya 5 Mkoani Dsm, leo tarehe 19 Januari, 2024. Akiwa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 19, 2024
369 views 30 secs

Na Mwandishi wetu Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa,Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndg. Paul Makonda Amewashukuru Baraza la Wazee na Wana CCM wote kwa mchango wao wa maombi ya kumpatia jambo jema ikiwa ni sehemu ya baraka na mafanikio. Mwenezi Makonda ameyasema hayo leo tarehe 19 Januari, 2023 alipopokelewa katika Ofisi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 19, 2024
293 views 44 secs

Na Mwandishi wetu KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. Paul Makonda ametoa wito na rai kwa Wanachama, Wapenzi, Wakerektwa wa CCM kujitokeza kwa wingi kumlaki na kumpokea Katibu Mkuu wa CCM Taifa Emanuel Nchimbi ikiwa sehemu ya ishara ya kumkaribisha ofisini pia naye kutoa salamu na shukrani. […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 19, 2024
273 views 2 mins

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema katika kudhibiti rushwa unahitajika uongozi imara pamoja na kuishirikisha jamii na wadau kuanzia ngazi ya watoto shuleni. Makamu wa Rais amesema hayo wakati akishiriki mjadala wa ngazi ya juu uliyohusu masuala ya Utawala Bora na kukabiliana na Rushwa uliyofanyika katika Mkutano […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 19, 2024
424 views 4 mins

Na. Beatus Maganja Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mhe. Dkt. Vicent Anney amesema mvua za El Nino zimekuwa sababu kubwa ya ongezeko la wanyamapori aina ya mamba ambao wamekuwa wakitoka maeneo yao ya asili na kwenda maeneo ya wananchi na kuleta madhara kwa maisha na mali zao katika vijiji vya Kasahunga na Mayolo Wilayani Bunda. […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Jan 17, 2024
343 views 2 mins

Na Madina Mohammed wamachinga Dodoma Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Judith Kapinga amesema kuwa Serikali iliagiza tani 3,036,376 za mafuta ya taa, dizeli, petroli na mafuta ya ndege katika kipindi cha mwezi Julai hadi Desemba 2023 kwa ajili ya matumizi ya ndani ya nchi pamoja na nchi jirani. Ametoa kauli hiyo January 17, 2024 jijini […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...