FEATURE
on Feb 19, 2024
310 views 3 mins

DAR ES SALAAM KUELEKEA siku ya wanawake Duniani inayoadhimishwa Machi 2, 2024, Mamlaka za Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) kwa kushirikiana Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia(TAZARA) wanaanda mtoko maalum kwa ajili ya kutembelea Hifadhi ya Taifa ya Nyerere kujionea vivutio vilivyopo. Akizungumza na  waandishi wa habari leo  jijini Dar es Salaam kwa niaba […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Feb 15, 2024
244 views 51 secs

Na. Beatus Maganja Idadi ya watalii wa kigeni kutoka Mataifa mbalimbali Duniani inazidi kuongezeka kwa Kasi katika Hifadhi ya Urithi wa Dunia ya Magofu ya Kilwa kisiwani na Songo Mnara, Hifadhi inayotajwa kuwa na upekee wa utalii wa kihistoria na kiutamaduni. Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA ikiwa ndiyo taasisi yenye dhamana ya […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Feb 15, 2024
394 views 4 secs

Na mwandishi wetu Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan baada ya kumaliza ziara yake nchi ya VATICAN , sasa atia timu Norway kwa ziara ya Kitaifa katika hatua za kuboresha mahusiano baina ya Tanzania na Norway. Rais Samia amepokelewa na Mfalme Harald V wa Norway akiwa kama muenyeji wake na […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Feb 15, 2024
308 views 18 secs

Na mwandishi wetu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu ahudhuria mualiko wa Papa Francis Mjini Vatican,Rais Dkt.Samia katika mualiko amefanya mazungumzo na Papa Francis zaidi ya dakika 25 ikiwa ni katika kuendelea kudumisha demokrasia ya Tanzania Kimataifa. Katika mazungumzo yao ya faragha yaliyodumu kwa takribani dakika ishirini na tano, wameridhika na uhusiano […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Feb 15, 2024
318 views 28 secs

Serikali inaendelea kutekeleza miradi ya kuimarisha na kuboresha upatikanaji wa umeme kwenye gridi ya Taifa (Gridi imara) ili kuwezesha wananchi kupata huduma hiyo muhimu ya umeme kila sehemu ya Nchi. Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Dunstan Kitandula aliyejibu swali bungeni kwa niaba ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Feb 14, 2024
323 views 48 secs

Ubunifu wa mbinu za kuongeza idadi ya watalii na vyanzo vya mapato nchini kwa kuanzisha mazao mapya ya utalii ni mojawapo ya mikakati inayopigiwa chapuo kwa msisitizo mkubwa na Wizara ya Maliasili na Utalii chini ya Waziri mwenye dhamana ya Maliasili Mhe. Angellah Kairuki (Mb). Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA kupitia Hifadhi […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Feb 14, 2024
236 views 45 secs

Kwa miongo kadhaa kumekuwa na dhana ya kwamba wageni wengi wa nje hupendelea zaidi utalii wa kuona wanyamapori, lakini hivi karibuni dhana hiyo imeanza kubadilika kwa kasi ambapo Tanzania imeanza kupokea wageni makundi kwa makundi wakitembelea katika maeneo yetu ya Malikale hususan Hifadhi ya Urithi wa Dunia ya Magofu ya Kilwa kisiwani na Songo Mnara. […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Feb 14, 2024
323 views 3 mins

Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA Mabula Misungwi Nyanda amewataka Maofisa wote wa taasisi hiyo kuweka mikakati madhubuti ya kuongeza idadi ya watalii ili kuongeza mapato Serikalini ikiwa ni pamoja na kuboresha ulinzi na usimamizi wa rasilimali za wanyamapori na malikale. Kamishna Mabula ameyasema hayo leo Februari 10, 2024 […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Feb 14, 2024
383 views 13 secs

Hifadhi ya Urithi wa Dunia ya Magofu ya Kilwa kisiwani na Songo Mnara inaendelea kupokea makundi makubwa ya watalii kutoka Mataifa mbalimbali Duniani ambao wanafika nchini mahsusi kwa ajili ya kutembelea hifadhi hiyo iliyosheheni utajiri wa kihistoria na maajabu ya magofu ya kale kwa shughuli za utalii. Kwa mara nyingine ikiwa ni kundi la tatu […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Feb 2, 2024
274 views 3 mins

Na. Beatus Maganja Mkuu wa Wilaya ya Serengeti Mhe. Dkt. Vincent Mashinji amesema Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA imeendelea kuunga mkono jitihada za Baba wa Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha elimu inakuwa kipaumbele wilayani Serengeti. Dkt. Mashinji ameyasema hayo Februari 01, […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...