FEATURE
on Mar 27, 2024
441 views 2 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM Kamati ya Bunge ya uwekezaji na mitaji ya umma imefanya Ziara ya kukagua mradi wa SGR na pia kuangalia majaribio ya TRC yanayofanywa Kwa maandarizi ya kuanza safari zao rasmi. Mwenyekiti ya kamati ya Bunge Amesema kuwa kazi kubwa imefanyika Kwa kutoka Dar mpaka morogoro wameshuhudia kuwa serikali imefanya […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 27, 2024
238 views 39 secs

DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema utulivu uliopo kwenye sekta ya habari nchini umechangiwa na maono ya Rais Samia Suluhu Hassan. Akizungumza jijini Dar es Salaam, kusherehekea kilele cha programu maalum ya Kurasa 365 za Mama, iliyojikita kuangazia mafanikio ya miaka mitatu ya Rais Samia Suluhu Hassan, […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 27, 2024
356 views 18 secs

DAR ES SALAAM: WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mabadiliko katika Sheria ya Huduma za Habari yamekuja kukuza sekta ya habari kwa kiwango kikubwa. Majaliwa ameyasema hayo leo Machi 27, 2024 katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam, katika kilele cha Kurasa 365 za Mama, ikiangazia mafanikio ya miaka mitatu ya Rais Samia Suluhu […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 27, 2024
300 views 2 mins

DAR ES SALAAM: Waziri Mkuu , Kassim Majaliwa amesema mradi wa Ujenzi wa Reli ya kati mpaka sasa umeshafika maeneo yote yanayopaswa kufikiwa. Majaliwa amesema hayo leo Machi 27, 2024 akihitimisha kampeni ya Kurasa 365 za mama katika ukumbi wa Mlimani City Dar es salaam. Amesema, ‘tuna mradi mkubwa wa ujenzi wa reli ya kati […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 26, 2024
275 views 3 mins

Na Veronica Simba – REA, Korogwe Walimu na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Chekelei iliyopo kijiji cha Madumu, wilayani Korogwe, Mkoa wa Tanga wamemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha wanapata huduma zote za msingi ikiwemo umeme na vitendea kazi mbalimbali, hali ambayo wameeleza itasaidia kuboresha taaluma shuleni hapo. Wametoa shukrani hizo leo Machi 26, […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 25, 2024
297 views 2 mins

Na mwandishi wetu Serikali imesema uchumi wa Tanzania umeendelea kukua Hadi kufikia Asilimia 5.2 licha ya athari ya mlipuko wa UVIKO 19 Duniani pamoja na vita kali ya urusi na ukraine Msemaji mkuu wa serikali mobhare Matinyi ameyasema hayo Leo Machi 24,2024 Jijini Dar es salaam wakati akizungumza na wahariri na waandishi wa habari Kuhusu […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 25, 2024
363 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu DAR ES SALAAM MKURUGENZI wa shirika la Reli nchini (TRC) Masanja Kadogosa amesema Ujenzi wa Miundo mbinu ya Reli unatarajia kufikia takribani trion 23.3 ambapo tayari shilingi trioni 10 zimeshalipwa kutekeleza Mradi huo wa kimkakati. Akizungumza Katika Mkutano wa waandishi wa Habari na wahariri wa vyombo vya habari nchini jijini Dar es […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 25, 2024
295 views 3 mins

Na mwandishi wetu Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema kuwa katika mwaka wa fedha 2024/25 Wizara kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) itajikita katika kufanya matengenezo makubwa katika maeneo korofi yaliyoathiriwa na mvua pamoja na kuendelea kukamilisha utekelezaji wa miradi ya barabara na madaraja hususan ya kimkakati na ile ya kupunguza msongamano katika miji ya […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 25, 2024
250 views 3 secs

Na mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila ametoa taarifa kwa umma, leo Machi 25, 2024  kupitia vyombo vya habari Ofisini kwake Ilala Boma Jijini Dar es Salaam. RC Chalamila amesema ndege mpya ya abiria aina ya Boieng B737-9 Max ya shirika la Ndege ATCL inatarajiwa kuwasili nchini ambapo ndege […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 25, 2024
250 views 39 secs

Na mwandishi wetu Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amewahimiza Waumini wa Dini ya kiislamu kuendelea kuhifadhi Quran Tukufu na kufundisha watoto wao kuisoma na pia wazidishe kutoa sadaka kwa watu wenye mahitaji hususani katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani. Rais Dk.Mwinyi amesema hayo katika fainali za 24 za […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...