FEATURE
on Mar 31, 2024
447 views 38 secs

Na mwandishi wetu Tarime Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo tarehe 31 Machi 2024 amefika kijijini Komaswa, wilayani Tarime mkoani Mara ili kuhani msiba wa aliyekuwa Askofu wa New Life Gospel Community Church (NLGCC), Marehemu Fransisca Mwita Gachuma ambaye alikuwa mwenza wa Ndugu Christopher Gachuma, Mjumbe wa Halmashauri Kuu […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 29, 2024
349 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu DAR ES SALAAM MAHAKAMANI DAR ES SALAAM, 29 Machi, 2024 MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu wakazi 11 wa Ifakara Morogoro kifungo cha miaka mitatu jela au kulipa faini ya shilingi milioni sita kwa kila mmoja baada ya kupatikana na hatia ya kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na kutoa taarifa za […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 29, 2024
366 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu DAR ES SALAAM Mjumbe wa Halmashauri Kuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Steven Wassira amesema  hakuna haja yakuchapisha fomu ya mgombea uraisi ndani ya chama hicho kwakuwa  tayari wana mgombea ambaye anatosha. Wassira alitoa kauli hiyo wakati anahojiwa kwenye moja ya kipindi cha luninga alipoulizwa kuhusu mchakato wakumpata mgombea urais ndani ya […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 29, 2024
403 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu DAR ES SALAAM Ikiwa imesalia siku kadhaa kuelekea sikukuu ya Pasaka ambayo itaanza maadhimisho yake siku ya Ijumaa Kuu Machi 29, 2024 na baadae kufuatiwa na mkesha sikukuu yenyewe wananchi wameombwa kutoa taarifa za viashiria au dalili za kihalifu ili wahusika washughulikiwe mapema . Akizungumza leo Machi 28,2024 Kamanda wa Jeshi la […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 29, 2024
223 views 4 mins

Na Mwandishi Wetu Lindi DIWANI wa Kata ya Songo Songo, Mkoani Lindi, Hassan Swalehe Yusuph ameipongeza Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kwa usimamizi bora wa Miradi ya Uwajibikaji kwa Jamii (CSR) iliyofanywa na kampuni zinazozalisha gesi asilia katika kisiwa cha Songo Songo. Yusuph ametoa pongezi hizo hivi karibuni wakati akizungumza na […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 28, 2024
341 views 5 mins

Menejimentiย  ETDCO nayo isukwe upya* Ni kufuatia Wizi, Utendaji mbovu na kusuasua kwa miradi* Awataja baadhi ya Watumishi wanaohusika na vitendo hivyo* Waliobainika kufanya wizi hatua za kisheria zachukuliwa dhidi yao* Atoa onyo kwa wanaotumia vifaa vya TANESCO kufanya biashara ya vyuma chakavu* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameagiza […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 28, 2024
263 views 5 mins

Menejimentiย  ETDCO nayo isukwe upya* Ni kufuatia Wizi, Utendaji mbovu na kusuasua kwa miradi* Awataja baadhi ya Watumishi wanaohusika na vitendo hivyo* Waliobainika kufanya wizi hatua za kisheria zachukuliwa dhidi yao* Atoa onyo kwa wanaotumia vifaa vya TANESCO kufanya biashara ya vyuma chakavu* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameagiza […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 28, 2024
344 views 2 mins

Na mwandishi wetu DAR ES SALAAM Tanzania imesainia Mkataba wa Ushirikiano na Nchi ya Hungary katika sekta ya maji ili kubadilishana uzoefu wa teknolojia katika sekta hiyo. Akizungumza leo Machi 28,2024 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Janury Makamba amesema kwa miaka mingi nchi hiyo inaongoza kwa teknolojia ya juu Duniani […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 28, 2024
404 views 2 mins

๐ŸŸข *Yachangia pesa wananchi waunganishiwe umeme* ๐ŸŸข *Wananchi wampongeza na kumshukuru Rais Samia* Bodi ya Nishati Vijijini (REB) imefanya ziara wilayani Mkinga, Mkoa wa Tanga, Machi 27, 2024  kukagua maendeleo ya utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini. Akizungumza baada ya kukagua miundombinu ya umeme katika Zahanati ya Magodi, Mwenyekiti wa Bodi, Balozi Meja Jenerali Mstaafu […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...
FEATURE
on Mar 28, 2024
764 views 2 mins

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameeleza kuwa tayari Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia kuongeza kiasi cha Shilingi Bilioni 4 kukamilisha upanuzi wa barabara ya njia nne Bukoba Mjini (Rwamishenye Round about – Stendi ya Bukoba Mjini) yenye urefu kilometa 1.6. Bashungwa amesema hayo leo tarehe 28 Machi 2024 wakati alipowasili katika Ofisi za […]

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge ...