TANZANIA YAANGAZA FITUR 2025 MADRID
Bodi ya Utalii Tanzania- TTB kwa kushirikiana na Ofisi ya Ubalozi wa Tanzania unaowakilisha Uhispania sambamba wadau mbali wa Utalii kutoka sekta binafisi chini ya mwamvuli wa TLTO kwa pamoja wamefanikisha Ushiriki wa Nchini ya Tanzania katika onesho la 45 la FITUR jijini Madrid, hii ni kuanzia tarehe 22 hadi 26 January,2025. Katika onesho hilo […]