BURUDANI
September 29, 2023
349 views 42 secs 0

MAMA WEMA AKIWASHA SIKU YA BIRTHDAY PARTY YA WEMA

Mama mzazi wa msanii maarufu wema sepetu achafua hali ya hewa kwenye birthday party ya mtoto wake Kilichoendelea mama huyo alipeleka zawadi ya kanga Kwa mwanawe na kugeuka somo Kwa Muda Kwa kumfunda wema sepetu Somo kubwa alilolitoa mama huyo ni kuhusu matumizi ya khanga Kwa mwanamke kwani alishawai kumuomba khanga mwanae na kupewa mtandio […]

BURUDANI
September 27, 2023
305 views 5 secs 0

MONALISA KUPAMBANIA TUNZO ZA WANAWAKE

Msanii mkongwe wa filamu nchini Yvone Cherrie โ€˜Monalisaโ€™ , ameandaa Usiku wa Tuzo za Wanawake Novemba 23 mwaka huu jijini Dar es Salaam. Akizungumza na waandishi wa habari, Monalisa amesema zitafanyika ukumbi wa Super Dome Masaki na kwamba ni nafasi ya wanawake kuonekana kwa kile wanachofanya. โ€œNimeandaa tuzo za wanawake vinara kwenye sekta ya sanaa, […]

BURUDANI
September 27, 2023
350 views 42 secs 0

SHAKIRA ATUHUMIWA KWA UHALIFU WA KUTOLIPA KODI MARA PILI

Shakira alishinda tuzo ya mafanikio ya maisha katika Tuzo za Muziki za Video za MTV mapema mwezi huu Mwanamuziki wa pop wa Colombia, Shakira amefunguliwa mashtaka ya kukwepa kulipa kodi kwa mara ya pili na serikali ya Uhispania. Waendesha mashtaka nchini Uhispania wanadai muimbaji huyo aliilaghai serikali ya Euro milioni 6.7 ($7.1m, ยฃ5.8m) mwaka wa […]

BURUDANI
September 04, 2023
485 views 1 sec 0

KANYE WEST NA MKE WAKE WAPIGWA ZUIO LA MAISHA.

Rapa na Mfanyabiashara wa Marekani, Kanye West na mkewe, Bianca Censori, wamepigwa zuio la maisha na Kampuni maarufu ya kukodisha Boti ya Venezia Turismo Motoscafi, baada ya wanandoa hao kunaswa katika picha wakishiriki matendo ya ngono kwenye moja ya Boti ya kampuni hiyo. Huku sehemu ndogo ya makalio ya Ye ikiwa wazi. Kampuni hiyo yenye […]

BURUDANI, KITAIFA
September 01, 2023
1292 views 58 secs 0

MSANII HAITHAM KIM AFARIKI DUNIA.

Msanii wa Bongofleva Haitham Kim ambaye hivi karibuni Wasanii na Wadau wengine mbalimbali walianzisha kampeni ya kusaidia kuchangisha pesa kwa ajili ya matibabu yake amefariki leo katika Hospitali ya Rufaa ya Temeke Jijini Dar es salaam. BNB ambaye ni Rafiki wa Mume wa Marehemu Haitham, ameithibitisha kuwa ni kweli Haitham amefariki leo Hospitalini hapo. Katika […]

BURUDANI
August 30, 2023
549 views 45 secs 0

MBASHA ATAMBULISHA WASANII WAPYA WA INJILI

Msanii wa muziki wa injili hapa nchini,Emanuel Mbasha amewatambulisha rasmi wasanii wapya wa muziki wa injili ambao wanaitwa Mapacha wa Mungu kama sehemu ya project yake ya Mbasha House of talent. Mbasha amesema ujio wa wasanii hao mapacha kwenye muziki wa injili utakwenda kutikisa tasnia ya Muziki wa injili hapa nchini kwa kuongeza ladha mpya […]

BURUDANI
August 15, 2023
317 views 2 mins 0

BASATA KUWATANGAZA MABALOZI WAPYA NA KUFUFUA SEKTA YA SANAA

BARAZA la Sanaa la Taifa (BASATA) limewatambulisha rasmi Mabalozi watakaoshirikiana ili kupanua wigo wa mawazo na kutangaza Falsafa yake iliyojikita katika Kufufua Zaidi, Kukuza Zaidi na Kuendeleza zaidi Sekta ya Sanaa na kuipa mawanda mapana ya ubunifu. Akizungumza na waandishi wa habari leo Agosti 15 Jijini Dar es Salaam akitambulisha mabalozi hao Katibu Mtendaji wa […]

BURUDANI, KITAIFA
August 11, 2023
417 views 2 mins 0

BODI YA FILAMU KUANDAA TENA TUZO ZA FILAMU

Bodi ya filamu imefungua dirisha la kupokea filamu Kwa ajili ya tamasha la Tuzo za filamu 2023 Tanzania ikiwa Moja wapo ya tamasha hilo ambalo linalokuza filamu za kitanzania na kuzidi kuleta chachu ya kuendeleza vipaji vya Sanaa Tuzo hizo zimekuwa msimamo wa mbele ambazo ndizo zinazoweza kukutambulisha kazi yako unayoifanya ya kutunga au kucheza […]

BURUDANI, KITAIFA
August 09, 2023
516 views 17 secs 0

KAJALA AJIBU SHUTUMA ZA HARMONIZE KUUZA RANGE

Mwigizaji staa kajala masanja amefunguka kwenye Mkutano wake na waandishi wa habari kuhusu yanayoendelea mtandaoni kumuhusu yeye na EX wake Harmonize ambapo amekiri kwamba ni kweli miezi miwili kabla hawajaachana na Harmonize alikuwa anachukua asilimia 10 kutoka kwenye kila hela aliyokuwa akiingiza Harmonize Akiongea Leo jijini Dar es salaam wakati akigewa Dili la ubalozi wa […]

BURUDANI, KIMATAIFA
August 09, 2023
395 views 2 secs 0

TORY LANEZ AHUKUMIWA MIAKA 10 JELA.

Tory Lanez ahukumiwa kwenda Jela miaka 10 kwa kosa la kumpiga risasi aliekua mpenzi wake Meghan Thee Stalllion katika tukio la miaka mitatu 3 iliopita . Jaji wa Mahakama ya Juu ya Los Angeles, David Herriford, alitoa hukumu hiyo kwa Lanez mwenye umri wa miaka 31, Tory amepatikana na hatia kwa makosa yote matatu tangu […]