BURUDANI
December 03, 2024
115 views 4 mins 0

MWANAMITINDO MAGESE JAJI MKUU SAMIA FASHION FESTIVAL

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA MWANAMITINDO  wa Kimataifa Mellen Happiness Magese ametangazwa kuwa Jaji Mkuu wa Tamasha la Samia Fashion Festival litakalofanyika leovisiwani Zanzibar. Akizungumza na waandishi wa habari jana baada ya kutangazwa kuwa Jaji Mkuu wa Tamasha hilo , Millen Magese alisema kuwa ni heshima  kubwa. Alisema kuwa ni furaha kwake kusimama kama Jaji Mkuu […]

BURUDANI
November 16, 2024
636 views 34 secs 0

FREDY MUIGIZAJI WA TAMTHILIA MZANI WA MAPENZI AFARIKI DUNIA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Dar es salaam. Muigizaji wa tamthilia na Filamu Nchini, Fredy Kiluswa amefariki Dunia.Taarifa za kifo chake zimethibitishwa baadhi ya wasanii wakiwemo @jb_jerusalemfilms na Steve Mengele almaarufu Steve Nyerere. Fredy ametamba na filamu na tamthilia mbalimbali ikiwemo tamthilia ya Mzani wa Mapenzi inayoonyeshwa katika channel ya Sinema Zetu ya Azam TV. Endelea […]

BURUDANI
October 27, 2024
211 views 2 mins 0

WAZIRI SIMBACHAWENE:HAKUNA KITU KIZURI KAMA MAISHA YA NDOA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA MPWAPWA Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.George Simbachawene (Mb) amesema maisha ya  ndoa ni mazuri huku akimtaka  Mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Mpwapwa Ndg.Mgutho Thabit Mathew aliyefunga pingu ya maisha na Mke wake Bi. Herieth Kileo  kuishi maisha yenye  upendo […]

BURUDANI
October 21, 2024
184 views 3 mins 0

SERIKALI YASAINI HATI YA USHIRIKIANO WA UWEKEZAJI NA KAMPUNI YA CHINA

Na Mwandishi Wetu Mwezi mmoja baada ya ziara ya Rais wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan aliyoifanya nchini China, Tanzania imefanikiwa kusaini Hati ya Ushirikiano ya uwekezaji na mafunzo na Kampuni ya Huduma za Mawasiliano ya Kielekroniki ya China (CECIS LTD) utakaowezesha kampuni zaidi ya 600 za vifaa vya Kompyuta kuwekeza nchini. Makubaliano hayo […]

BURUDANI
October 19, 2024
191 views 2 mins 0

ROYAL TOUR YA RAIS SAMIA YANG’ARISHA SERENGETI NA MLIMA KILIMANJARO KIMATAIFA

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM Taasisi ya World Travel Awards imetangaza hifadhi mbili za Tanzania kuwa washindi katika vipengele vya hifadhi na kivutio bora cha utalii barani Afrika kwa mwaka 2024. Hifadhi ya Taifa Serengeti imetangazwa kuwa mshindi katika kipengele cha Hifadhi Bora Barani Afrika (“Africa’s Leading National Park 2024”) wakati Mlima Kilimanjaro ikitangazwa […]

BURUDANI
October 12, 2024
336 views 2 mins 0

SAMIA FASHION FESTIVAL KUINUA WABUNIFU WA MAVAZI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Muanzilishi na Mratibu wa Tamasha la Samia Festival Hadija Mwanamboka amesema tamasha hilo ni mahususi kwaajili ya kuinua wabunifu wa mavazi nchini Tanzania Amesema hayo Octoba 11 Jijini Dar es salaam wakati wakitambulisha Tamasha hilo litakalo anza kufanyika Novemba 27 Jijini humo akieleza kuwa lengo kuu ni kuwapa jukwaa wabunifu kutengeneza […]

BURUDANI
October 03, 2024
230 views 2 mins 0

SERENGETI OKTOBAFEST 2023 WAS A BLAST! 2024, ARE YOU READY TO TURN UP?

Na Mwandishi Wetu If you missed #SerengetiOktobaFest 2023, we have just one word for you FOMO! Last year, we brought the house down with the perfect fusion of culture, community, and of course, the ultimate beer (Serengeti lager) that brought us all together. And let’s just say, the vibes were nothing short of legendary! From […]

BURUDANI
October 03, 2024
367 views 2 mins 0

TOP TEN BEERS IN TANZANIA: A TASTE OF TANZANIAN PRIDE

Na Mwandishi Wetu Tanzania may not have an extensive list of beers, but the ones it offers are truly exceptional. Here’s a rundown of the top beers you absolutely must try when visiting Tanzania: Serengeti Premium Lager: A true Tanzanian classic, Serengeti Premium Lager has been a source of national pride since its inception in […]

BURUDANI
October 03, 2024
172 views 3 mins 0

TAMASHA LA MITINDO LAFANA SLIPWAY SMIRNOFF KUWA MDHAMINI MKUU

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Mnamo Septemba 28, 2024, Terrace Lounge iliyoko Slipway ilibadilika na kuwa paradiso ya mwanamitindo, yote hayo yakifanywa na Tamasha mahiri la Mitindo la Tanzania lililodhaminiwa na Smirnoff. Jua lilipozama chini ya upeo wa macho, likitoa mwangaza wa joto kwenye ukumbi huo, wageni walianza kumiminika, wakipiga kelele kwa furaha […]