MWANAMITINDO MAGESE JAJI MKUU SAMIA FASHION FESTIVAL
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA MWANAMITINDO wa Kimataifa Mellen Happiness Magese ametangazwa kuwa Jaji Mkuu wa Tamasha la Samia Fashion Festival litakalofanyika leovisiwani Zanzibar. Akizungumza na waandishi wa habari jana baada ya kutangazwa kuwa Jaji Mkuu wa Tamasha hilo , Millen Magese alisema kuwa ni heshima kubwa. Alisema kuwa ni furaha kwake kusimama kama Jaji Mkuu […]