DR MALUGU:TUKO KWA AJILI YA KUISAIDIA SERIKALI LAKINI TUNAMITAJI MIDOGO
Mkurugenzi wa kampuni ya biashara ya mitandao Dr Queen Malugu Amesema Kuna watu wengi ambao wanaosoma wapo Kwa ajili ya kuajiliwa lakini yakati hizi ni ngumu sana kuajiliwa lakini wapo Kwa ajili ya kuisaidia serikali kwani Bado tunamitaji midogo Hayo ameyasema Leo Tarehe 13,2024 Katika Tafrija ambayo walioifanya wafanyabiashara hao pamoja na mkurugenzi wao wa […]