BIASHARA, KITAIFA
January 13, 2024
408 views 56 secs 0

DR MALUGU:TUKO KWA AJILI YA KUISAIDIA SERIKALI LAKINI TUNAMITAJI MIDOGO

Mkurugenzi wa kampuni ya biashara ya mitandao Dr Queen Malugu Amesema Kuna watu wengi ambao wanaosoma wapo Kwa ajili ya kuajiliwa lakini yakati hizi ni ngumu sana kuajiliwa lakini wapo Kwa ajili ya kuisaidia serikali kwani Bado tunamitaji midogo Hayo ameyasema Leo Tarehe 13,2024 Katika Tafrija ambayo walioifanya wafanyabiashara hao pamoja na mkurugenzi wao wa […]

BIASHARA, KITAIFA
January 04, 2024
340 views 3 mins 0

MATINYI:AFURAHISHWA NA TRC KUSIMAMIA VYEMA UJENZI WA RELI WENYE UBORA

Msemaji Mkuu wa Serikali ambae pia ni Mkurugenzi Idara ya Habari Maelezo Bwana Mobhare Matinyi ametembelea ujenzi wa Reli ya Kimataifa SGR kipande cha kwanza Dar Es Salaam – Morogoro katika stesheni ya Dar Es Salaam, January 03, 2024. Lengo la ziara hiyo nikujionea maendeleo ya ujenzi wa Reli ya SGR pamoja na kufahamu maandalizi […]

BIASHARA, KITAIFA
December 01, 2023
235 views 16 secs 0

NHC KUTWAA TUZO YA MSHINDI WA KWANZA KATIKA MASHIRIKA YA UMMA

Na Madina Mohammed MAMLAKA ya mapato Tanzania TRA imetoa Tuzo Kwa Shirika la Taifa la nyumba NHC Kuwa kundi la mashirika ya umma na kuwa mshindi wa kwanza Kwa kuweza kulipa Kodi kwa uwaminifu Akizungumza na Waandishi wa habari jijini Dar es salaam Leo ijumaa 01,2023 MENEJA wa Habari mahusiano ya shirika la nyumba Ndg.Muungano […]

BIASHARA, KITAIFA
November 22, 2023
288 views 56 secs 0

TBA KUWACHUKULIA HATUA KALI WADAIWA SUGU

Wakala wa majengo TBA imesema kuwa mpaka Sasa jumla ya fedha wanaowadai wapangaji wao ni Zaidi ya sh.bilion 7.8 ambazo zinazodaiwa Kwa wapangaji wake zikiwemo taasisi za umma. Akizungumza na Waandishi wa habari jijini Dar es salaam Leo Jumatano 22,2023 Mtendaji mkuu wa wakala wa majengo TBA Daud kondoro jambo hili limekuwa kikwanzo kwenye juhudi […]

BIASHARA, KITAIFA
October 25, 2023
212 views 3 mins 0

SEKTA YA MADINI NGUZO MUHIMU YA MAENDELEO YA NCHI

Mazingira Uwekezaji Sekta ya Madini, sasa njia nyeupe Dar es Salaam Imeelezwa kuwa, Sekta ya Madini ni nguzo muhimu na chachu ya maendeleo ya uchumi wa nchi kupitia rasilimali madini iliyopo nchini. Hayo yameelezwa leo Oktoba 25, 2023 na Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko alipomwakilisha Rais wa […]

BIASHARA
October 21, 2023
451 views 3 mins 0

WAFANYABIASHARA KARIAKOO WAZINDUA MAMA TUVUSHE 2025

Jumuiya ya wafanyabiashara ya maduka Kariakoo, Dar es Salaam imezindua kampeni yenye jina la Mama Tuvushe 2025 yenye lengo la kumsapoti na kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa mambo mengi aliyofanya tangu aliposhika wadhifa huo ikiwemo kuwajali na kuwathamini wafanyabiashara nchini. Akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Cate […]

BIASHARA
October 17, 2023
264 views 2 mins 0

MAJALIWA:FAO YAAHIDI KUIUNGA MKONO TANZANIA

Ni katika mikakati yake ya kukuza na kuendeleza sekta ya kilimo WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo (FAO) limeahidi kuunga mkono jitihada za Serikali ya Tanzania katika kukuza na kuendeleza sekta ya kilimo. Amesema Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar […]

BIASHARA, KITAIFA
October 11, 2023
238 views 58 secs 0

WATANZANIA WAASWA KUJITOKEZA KWA WINGI KATIKA MAONESHO YA DAR CONSTRUCTION EXPO ILI KUJIFUNZA TEKNOLOJIA MPYA ITAKAYOPATIKANA KATIKA SEKTA YA UJENZI

Hayo Yamesemwa leo na Mkurugenzi na Muandaaji wa Maonesho hayo Bw. Deogratius John Kilawe , alipokuwa akiongea na Waandishi wa Habari katika Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam ambapo ameeleza kuwa Maonesho hayo yana lengo la Kuwakutanisha kwa Pamoja Wadau wa Sekta ya Ujenzi na kujadili njia mbalimbali zitakazosaidia kuinua Sekta hiyo pamoja […]

BIASHARA, KITAIFA
September 27, 2023
370 views 5 mins 0

KANYASU AMEIOMBA TUME YA MADINI KUJA NA TEKNOLOJIA YA KUKAMATA SHABA DHAHABU NA FEDHA

Mbunge wa Jimbo la Geita Mjini Mh. Constantine John Kanyasu amewapongeza waandaaji wa Maonesho ya sita ya kimataifa ya teknolojia ya Madini na pia kupata nafasi ya kuwa Mgeni mahususi katika kutembelea mabanda mbalimbali yaliyoko katika Maonesho hayo Amesema Maonesho haya yameandaliwa vizuri na washiriki ni wengi na hii inaleta hamasa, hususani ushiriki wa bidhaa […]

BIASHARA, KITAIFA, MICHEZO
September 25, 2023
307 views 55 secs 0

SERIKALI KUONGEZEA WIGO SEKTA YA MAWASILIANO

Wizara ya Habari na Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Kwa kushirikiana na sekta binafsi kwa kuweka mazingira wezeshi kwa makampuni ya kutoa huduma ya mawasiliano ili kuongeza wigo katika sekta hiyo. Hayo yamebainishwa leo septemba 25,2023 na Waziri wa Habari na Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Nape nnauye kwenye Hafla ya utiaji saini hati […]