BIASHARA
April 24, 2024
199 views 3 mins 0

WAZIRI MAVUNDE AWATAKA WATUMISHI GST KUCHAPA KAZI

GST kujenga Maabara ya Kisasa jijini Dodoma* GST ni Moyo wa Sekta ya Madini Kufanya Utafiti wa kina kufikia asilimia 50 Na Madina Mohammed DODOMA WAMACHINGA Waziri wa Madini Mhe.Anthony Mavunde amewataka Watumishi wa Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) kuchapa kazi kwa bidii  ili kutimiza Vision 2030 ambayo ndana yake kubwa […]

BIASHARA
April 24, 2024
250 views 3 mins 0

WAZIRI MAVUNDE AFUTA MAOMBI YA LESENI ZA MADINI 227

Awataka wadau kuzingatia matakwa ya Sheria wamiliki wa akaunti za uombaji na usimamizi wa leseni kwa njia ya mtandao ambao sio waaminifiu kusitishiwa akaunti zao Zoezi la ufutaji wa maombi na Leseni kuwa endelevu Amtaka kila mmoja kufuatilia hadhi ya maombi au Leseni zake Waziri wa Madini, *Mheshimiwa Anthony Mavunde* amebainisha kwamba Serikali kupitia Tume […]

BIASHARA
April 23, 2024
227 views 3 mins 0

WAWEKEZAJI WAHAMASISHWA KUWEKEZA TANGA

*Mkoa wa Tanga umebarikiwa kuwa na aina mbalimbali za madini* *Wafanya biashara waaswa kuzingatia Sheria za Madini* Wito umetolewa kwa Wawekezaji wa ndani na nje ya nchi kuwekeza katika fursa zilizopo kwenye Sekta ya Madini mkoani Tanga kutokana na uwepo wa aina mbalimbali za rasilimali madini mkoani humo. Wito huo umetolewa na Afisa Madini Mkazi […]

BIASHARA
April 19, 2024
394 views 13 secs 0

SKECHERS INAWATAKA WATANZANIA KUTUMIA VIATU MAALUM KUTIBU MAGONJWA YA MIGUU

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM Kampuni ya viatu ya Skechers kwa kushirikiana na Madaktari bingwa wa magonjwa yasio ya kuambukiza hususani miguu imewataka Watanzania kutumia  viatu maalumu ambavyo vimetengenezwa kwa teknolojia  ambayo itaasaidia kutibu magonjwa mbalimbali ya miguu Akizungza leo Jijini Dar es salaam na Waandishi wa habari Daktari bingwa wa magonjwa yasio ya […]

BIASHARA
April 17, 2024
330 views 5 mins 0

BANK YA MAENDELEO YAZIDI KUKUA KATIKA UCHUMI KWA FAIDA YA ASILIMIA 66

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM Mambo Mengi  yameendelea kuonekana kwa benki ya ‘Maendeleo Bank Plc’ ambapo kwa mwaka 2023 matokeo ya kifedha yameonesha kukua kwa faida kwa asilimia 66 baada ya kodi na kufanya faida baada ya kodi kuongezeka hadi shilingi Bilioni 2.3 kutoka shilingi Bilioni 1.4 mwaka 2022 kutokana na uimarishwaji wa njia […]

BIASHARA
March 25, 2024
266 views 10 secs 0

MATINYI:THAMANI YA UWEKEZAJI WA TAASISI YAFIKIA ASILIMIA 8.6

Na mwandishi wetu DAR ES SALAAM: MKURUGENZI wa Idara ya Habari (Maelezo) na Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema thamani ya uwekezaji katika taasisi zinazosimamiwa na Ofisi ya Msajili wa Hazina imeongezeka kutoka Sh trilioni 70 mwaka 2021 hadi kufikia Sh trilioni 76 mwaka 2023 ambayo ni sawa na ongezeko la asilimia 8.6. Akiwa […]

BIASHARA
March 22, 2024
301 views 2 mins 0

ZARI ALAMBA TENA SHAVU SOFTCARE

Na Mwandishi Wetu Kampuni ya Dowei Care Technology ambao ni wazalishaji wa Taulo za kike na za watoto (SOFTCARE) kesho wanatarajia kutoa msaada wa bidhaa zao katika hospital ya Taifa ya Muhimbuli katika kitengo cha huduma za mama mtoto lengo likiwa kuendelea kumsaidia mwanamke kujisitiri pindi anapokuwa kwenye siku zake za hedhi. Akizungumza leo Machi […]

BIASHARA, KITAIFA
February 28, 2024
232 views 3 mins 0

NHIF WABORESHA KITITA CHA MAFAO KWA WANACHAMA WAO

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM Mfuko wa Bima wa Taifa wa NHIF imefanya maboresho ya kitita cha mafao kwa wanachama wake ambayo utekelezaji wake utaanza rasmi Machi Mosi mwaka 2024 ikiwa lengo ni upatikanaji wa huduma bora wa wanachama pamoja na kuongeza huduma ambazo hazikuepo hapo awali. Aidha, amesema kuwa,  maboresho hayo ya orodha […]