WAZIRI MAVUNDE AWATAKA WATUMISHI GST KUCHAPA KAZI
GST kujenga Maabara ya Kisasa jijini Dodoma* GST ni Moyo wa Sekta ya Madini Kufanya Utafiti wa kina kufikia asilimia 50 Na Madina Mohammed DODOMA WAMACHINGA Waziri wa Madini Mhe.Anthony Mavunde amewataka Watumishi wa Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) kuchapa kazi kwa bidii ili kutimiza Vision 2030 ambayo ndana yake kubwa […]