BIASHARA
April 30, 2024
293 views 48 secs 0

BASHE APITA KUJIONEA UBUNIFU NA TEKNOLOJIA INAVYOCHOCHEA MAENDELEO KWENYE KILIMO

Waziri wa Kilimo, Mhe. Husein Bashe amezitaka Taasisi na Kampuni binafsi zinazojihusisha na kilimo kujikita zaidi katika ubunifu na matumizi ya Teknolojia ili kuongeza tija na ufanisi kwenye sekta hiyo. Waziri Bashe ametoa ushauri huo leo April 30, 2024 wakati alipotembelea kukagua mabanda ya wadau mbalimbali wa kilimo wanaoshiriki maonesho ya kilimo ya siku tano […]

BIASHARA
April 30, 2024
237 views 48 secs 0

BASHE APITA KUJIONEA UBUNIFU NA TEKNOLOJIA INAVYOCHOCHEA MAENDELEO KWENYE KILIMO

Waziri wa Kilimo, Mhe. Husein Bashe amezitaka Taasisi na Kampuni binafsi zinazojihusisha na kilimo kujikita zaidi katika ubunifu na matumizi ya Teknolojia ili kuongeza tija na ufanisi kwenye sekta hiyo. Waziri Bashe ametoa ushauri huo leo April 30, 2024 wakati alipotembelea kukagua mabanda ya wadau mbalimbali wa kilimo wanaoshiriki maonesho ya kilimo ya siku tano […]

BIASHARA
April 30, 2024
222 views 2 mins 0

BASHE: RAIS SAMIA AMEFANYA MAGEUZI MAKUBWA KWENYE SEKTA YA UMWAGILIAJI

Na Mwandishi Wetu Katika kuhakikisha sekta ya kilimo inazidi kukua, serikali ya awamu ya sita chini ya uongozi wa Rais Samia imeongeza bajeti ya sekta ya umwagiliaji kutoka shilingi bilioni 46.5 mwaka 2021/22 hadi shilingi bilioni 373.5 kwa mwaka 2023/2024 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya umwagiliaji ili kuongeza tija kwa wakulima. Waziri […]

BIASHARA
April 29, 2024
225 views 27 secs 0

MUONEKANO WA ENEO YATAKAPOFANYIKA MAONYESHO YA KILIMO KUANZIA KESHO

DODOMA Wizara ya Kilimo kwa kushirikiana na wadau kwenye sekta ya kilimo kuanzia kesho Aprili 30, 2024 wataonesha shughuli mbalimbali za kiteknolojia zinazotumika katika sekta husika kwenye kuendeleza kilimo nchini Maonesho hayo yenye Kauli Mbiu ya “from Lab to Farm 2024” yanalenga kuonesha namna matumizi ya teknolojia yanavyochagiza maendeleo ya kilimo ambapo wadau mbalimbali wa […]

BIASHARA
April 29, 2024
327 views 28 secs 0

MAONESHO YA KILIMO KUANZA RASMI KESHO JIJINI DODOMA

Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Mhe. Gerald Geofrey Mweli leo April 29, 2024 Jijini Dodoma  ametembelea na kukagua maandalizi ya maonesho ya kilimo yatakayoanza kesho katika Viwanja vya Bunge. Maonesho hayo yenye Kauli Mbiu ya “from Lab to Farm 2024” yanalenga kuonesha namna matumizi ya teknolojia yanavyochagiza maendeleo ya kilimo ambapo wadau mbalimbali wa kilimo […]

BIASHARA
April 29, 2024
146 views 30 secs 0

FAHAMU MFUMO WA KIDIGITALI UNAOTUMIKA KUIMARISHA USALAMA WA CHAKULA NCHINI

Wizara ya Kilimo imekuwa na mkakati wa kutoa mafunzo kuhusu Mfumo wa Crop Stocks Dynamics System (CSDS) kwa watalaamu wa kilimo katika ngazi ya Halmashauri na Sekretarieti za Mikoa ili kuimarisha usalama wa chakula na upatikanaji wa masoko nchini. Huu ni mfumo wa kidigitali wa kusajili ghala, masoko, vituo vya ukaguzi wa mazao na wafanyabiashara […]

BIASHARA
April 29, 2024
181 views 45 secs 0

UHIFADHI WA MAZAO HUMSAIDIA MKULIMA KUPATA BEI NZURI SOKONI

Wizara ya Kilimo imeendelea na mikakati kabambe ya uwekezaji kwenye miundombinu ya uhifadhi wa mazao ili kuhakikisha nafaka na mazao mbalimbali yanakidhi vigezo vya ubora katika soko na yanakidhi vigezo vya ubora vya Kimataifa. Uimarishaji wa miundombinu hii inasaidia kuhakikishia nchi Usalama wa Chakula na kudhibiti magonjwa kama Sumukuvu kwani miundombinu hii huwezesha nafaka kuhifadhiwa […]

BIASHARA
April 28, 2024
214 views 47 secs 0

MAANDALIZI YA MAONYESHO YA WIZARA YA KILIMO DODOMA YAFIKIA PAZURI

DODOMA Kuelekea Bajeti ya Wizara ya Kilimo kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025 itakayosomwa Bungeni jijini Dodoma, Mei 2 na Mei 3, 2024, Wizara ya Kilimo kwa kushirikiana na taasisi mbalimbali za Kilimo zilizo chini yake wameandaa maonyesho maalumu yatakayowezesha wananchi mbalimbali wakiwemo waheshimiwa Wabunge kuweza kufahamu huduma mbalimbali zinazotolewa na Wizara hiyo kupitia taasisi zake. […]

BIASHARA
April 28, 2024
1182 views 2 mins 0

MATUMIZI YA CHOKAA KATIKA KILIMO HUIMARISHA AFYA YA UDONGO MCHACHU

Zikiwa zimebaki siku 3 kuelekea kusomwa kwa Bajeti ya Wizara ya Kilimo kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025, Wizara ya Kilimo imeeleza umuhimu wa utafiti katika kufanya kilimo cha kisasa, chenye tija na manufaa makubwa kwa wakulima Wizara hiyo imeweka bayana kuwa utafiti umeendelea kuwezesha upatikani wa mbegu Bora za mazao zenye sifa za kustahimili mabadiliko […]

BIASHARA
April 28, 2024
281 views 2 mins 0

KUPANDA KWA SENTIMITA 60 KWA SENTIMITA 30 KUNAONGEZA WINGI WA MIMEA

Zikiwa zimebaki siku 3 kuelekea kusomwa kwa Bajeti ya Wizara ya Kilimo kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025, Wizara ya Kilimo imeeleza umuhimu wa utafiti katika kufanya kilimo cha kisasa, chenye tija na manufaa makubwa kwa wakulima Wizara hiyo imeweka bayana kuwa utafiti umeendelea kuwezesha upatikani wa mbegu Bora za mazao zenye sifa za kustahimili mabadiliko […]