BIASHARA, KITAIFA
May 03, 2024
249 views 0 secs 0

MALENGO YA RAIS SAMIA NI KUKIFANYA KILIMO KUWA NA TIJA ZAIDI

JIJINI DODOMA Wizara ya Kilimo imehitimisha bajeti yake kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025 Bungeni jijini Dodoma kwa kishindo kikubwa. Bajeti hiyo ya zaidi ya shilingi Trilioni 1.24 inatajwa kubeba matumaini ya mamilioni ya wakulima na watanzania wote kwa ujumla Akiwasilisha bajeti hiyo, Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) amesema malengo ya Serikali ya Awamu […]

BIASHARA, KITAIFA
May 03, 2024
298 views 3 secs 0

BAJETI YA WAKULIMA YAPITIASHWA KWA KISHINDO KIKUBWA

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeidhinisha matumizi ya  ya Shilingi trilioni 1.24 kwa ajili ya Wizara ya Kilimo katika mwaka 2024/2025 kwa ajili ya  utekelezaji   wa mipango mbalimbali iliyoainishwa ili kuendelea kukuza Sekta ya Kilimo nchini. Kwa mujibu wa Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) amesema Wizara imeongeza kipaumbele kimoja na hivyo […]

BIASHARA, KITAIFA
May 03, 2024
353 views 48 secs 0

BASHE KWENYE MAONYESHO YA TEKNOLOJIA ZA KILIMO BAADA YA KUWASILISHA BAJETI BUNGENI

Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe alipata nafasi ya kupita katika maonesho ya Kilimo yanayoendelea katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma baada ya kuwasilisha Bajeti ya Kilimo, jana Mei 02, 2024. Maonyesho hayo yenye kauli mbiu ya ‘FROM LAB TO FARM 2024’ yamelenga kuonesha jinsi ubunifu na teknolojia za kisasa zinavyoweza kuchochea maendeleo kwenye Sekta […]

BIASHARA, KITAIFA
May 02, 2024
463 views 24 secs 0

MRADI WA BBT KUTEKELEZWA KATIKA HALMASHAURI 100 NCHINI

JIJINI DODOMA Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) akiwasilisha Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha ya Wizara ya Kilimo kwa Mwaka 2024/2025, amesema wizara yake itaendelea kuwezesha upatikanaji wa ajira zenye staha na ushiriki wa vijana na wanawake kwenye kilimo kupitia utekelezaji wa Programu ya Jenga Kesho Iliyo Bora (Building a […]

BIASHARA, KITAIFA
May 02, 2024
265 views 29 secs 0

UZALISHAJI WA MAZAO ÀSILIA YA BIASHARA YAZIDI KUPAA

JIJINI DODOMA Imeelezwa kuwa uzalishaji wa mazao asilia katika mwaka 2023/2024 umeongezeka kutoka tani 1,123,477.92 mwaka 2022/2023 hadi tani 1,260,321.1 sawa na asilimia  78.05 ya lengo la kuzalisha tani 1,614,758. Hayo yamesemwa na Mhe. Hussein Bashe wakati wa uwasilishaji wa Bajeti ya Wizara ya Kilimo leo Tarehe 02.05/2024 Jijini Dodoma ambapo amesema  ongezeko hilo limechangiwa […]

BIASHARA, KITAIFA
May 02, 2024
224 views 30 secs 0

SEKTA YA KILIMO KUENDELEA KUFANYIWA MAGEUZI MAKUBWA NCHINI

Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) amewasilisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha ya Wizara ya Kilimo kwa Mwaka 2024/2025 ambapo katika hotuba yake amesema katika mwaka ujao wa fedha, Wizara itaendelea kutekeleza vipaumbele vitano (5) vya mwaka 2023/2024 kwa kukamilisha miradi iliyoanza mwaka 2022/2023, 2023/2024 na kuanza miradi mipya. Waziri Bashe amesema […]

BIASHARA, KITAIFA
May 02, 2024
323 views 23 secs 0

KILIMO KIMETOA AJIRA ASILIMIA 65.6

“Sekta ya kilimo katika mwaka 2023 imekua kwa asilimia 4.2 kutoka asilimia 2.7 ya mwaka 2021 na imechangia asilimia 26.5 katika pato la Taifa ikilinganishwa na asilimia 26.2 mwaka 2022, vilevile imetoa ajira asilimia 65.6 imechangia asilimia 65 ya malighafi ya viwanda na kuendelea kuchangia asilimia 100 ya upatikanaji wa chakula,” – @HusseinBashe Waziri wa […]

BIASHARA, KITAIFA
May 02, 2024
317 views 37 secs 0

TAIFA LIMEJITOSHELEZA KWA CHAKULA KWA ASILIMIA 124

JIJINI DODOMA Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) akiwasilisha Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha ya Wizara ya Kilimo kwa Mwaka 2024/2025 amesema kuwa uzalishaji wa chakula kwa msimu wa kilimo wa 2022/2023 ulitosheleza mahitaji ya chakula ya tani 16,390,404 kwa mwaka 2023/2024 na kuwepo kwa ziada ya tani 4,011,611. Amesema […]

BIASHARA, KITAIFA
May 02, 2024
364 views 33 secs 0

BAJETI YA WIZARA YA KILIMO 2024/2025 KUWASILISHWA LEO

“Sekta ya Kilimo katika mwaka 2023 ilikua kwa asilimia 4.2 ikilinganishwa na ukuaji wa asilimia 3.3 mwaka 2022. Vilevile, Sekta ya Kilimo imechangia asilimia 26.5 katika Pato la Taifa ikilinganishwa na asilimia 26.2 mwaka 2022, imetoa ajira kwa wananchi kwa wastani wa asilimia 65.6 na kuchangia asilimia 65 ya malighafi za viwanda.” Mhe. Hussein Bashe […]

BIASHARA
May 01, 2024
305 views 54 secs 0

MWELI ASISITIZA MBOLEA KUFIKIA WAKULIMA KWA WAKATI

Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Bw.Gerald Mweli amesisitizia suala la Uwajibikaji wenye tija katika utekelezaji wa majukumu kwa Taasisi, Sekta Binafsi na Idara za Wizara ya Kilimo katika kuwahudumia wakulima na wanufaika katika mnyororo wa thamani kwenye kilimo. Mweli ametoa rai hiyo wakati alipotembelea Maonesho ya Kilimo yanayoendelea katika Viwanja vya Bunge Jijini Dodoma. […]