BIASHARA
June 07, 2024
156 views 2 mins 0

WAFANYABIASHARA WATOA RAI KWA TRA WASHIRIKISHWE NJIA YA KUKUSANYA MAPATO NASI KUTUMIA NJIA ZA VISHOKA

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA JUMUIYA ya wafanyabiashara wa Kariakoo jijini Dar es salaam, wametoa rai kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania, TRA kutumia njia ya ushirikishaji katika kukusanya mapato, badala ya kutumia njia zisizofuata misingi ya kisheria ikiwemo vishoka. Akizungumza na Waandishi wa Habari mapema leo Juni 07/2024 Jijini Dar es salaam Mwenyekiti […]

BIASHARA, KITAIFA
May 29, 2024
362 views 2 mins 0

TRA AWATAKA WAANDISHI WA HABARI ZA MTANDAONI KUWAHAMASISHA WANANCHI KUTUMIA DESTURI YA KUDAI RISITI

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Mamlaka ya Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA imewaomba waandishi wa habari za Mtandaoni (digital online) kuhamasisha wananchi kuwa na desturi ya kudai risiti pale wanapofanya manunuzi ili kusaidia kuwapata wafanyabiashara wanaokwepa kulipa kodi. Rai hiyo ameitoa leo Jijini Dae es salaam Mei 29,2024 Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Mapato TRA Elimu […]

BIASHARA, KITAIFA
May 22, 2024
240 views 3 mins 0

WANANCHI KUJENGEWA KUJUA UMUHIMU WA KUTUMIA MAZIWA KATIKA WIKI YA MAZIWA

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Wizara ya Mifugo na Uvuvi Kupitia Bodi ya maziwa inaelekea Katika kuazimisha wiki ya Maziwa ambayo itakayofanyika Tarehe 1 Juni 2024 yenye kulenga utumiaji wa maziwa Kwa kila mwananchi na kupewa ufahamu wa jinsi ya utumiaji Kwa maziwa yote ambayo yaliyosindikwa na yasiyosindikwa. Msajili wa Bodi ya maziwa […]

BIASHARA
May 17, 2024
179 views 3 mins 0

ENEO LA URAFIKI TEXTILE LANUNULIWA NA SHIRIKA LA NYUMBA NHC

Na Mwandishi wetu Wamachinga Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) limenunua rasmi eneo la Urafiki mapema mwaka huu, ikiwemo mali zote zilizokuwa chini ya Kampuni ya Urafiki wa Tanzania na China (Tanzania – China Friendship Textile CO LTD). Meneja wa Mawasiliano kwa Umma wa  Shirika la Nyumba la Taifa ameyasema hayo leo wakati wa ziara […]

BIASHARA, KITAIFA
May 10, 2024
701 views 3 mins 0

BANK YA TCB KUZINDUA VIKOBA VYA KIDIGITALI

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA TANZANIA Commercial Bank BANK (TCB) imefanya mapinduzi yanayolenga Vikundi vya kuweka na kukopa yaani Vikoba ili kumwezesha wafanyabiashara wadogo wadogo kukopa Kidijitali ndani ya Kikoba kidigitali. Akizungumza wakati wa uzinduzi, huo leo Mei 09, 2024, jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji wa TCB Benki, Adamu Mihayo amesema kuwa […]

BIASHARA
May 07, 2024
293 views 4 mins 0

WAMACHINGA KUPATIWA VIWANJA KUPITIA MAENDELEO BANK

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Benki ya Mandeleo Leo imesaini mkataba wa makubaliano ya pamoja Kati yake na shirikisho la umoja wa wamachinga wa Kariakoo (KAWASSO) utakaowawezesha wafanyabiashara hao kupata viwanja vya makazi sambamba na kupata mikopo kwa ajili ya Kujengea nyumba unaojulikana kama ‘Machinga Plot Finance’. Akizungumza na waandishi wa habari Leo […]

BIASHARA, KITAIFA
May 04, 2024
277 views 55 secs 0

RC MTAKA:UZURI WA BAJETI YA KILIMO NI SHANGWE KWA WAKULIMA WOTE NCHINI

JIJINI DAR ES SALAAM WAMACHINGA Kufuatia Wizara ya Kilimo kutangaza katika kuendelea na mkakati wa kuendelea na zoezi za usambazaji wa mbolea ya ruzuku nchini katika mwaka 2024/2025, Mkuu wa mkoa wa Njombe, Mhe. Anthony Mtaka ameipongeza Wizara hiyo kwa hatua zake za madhubuti za kuhakikisha Wananchi wa Mkoa wa Njombe wanaendelea kupata mbolea ya […]

BIASHARA, KITAIFA
May 04, 2024
334 views 3 mins 0

BANK YA KILIMO TADB YAWEZESHA MAFUNZO YA MIKOPO KWA WATAALAMU WA KILIMO

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Benki ya  maendeleo. ya kilimo  (TADB) imetoa  mafunzo ya mikopo kwa wataalamu wa kilimo nchini ikiwa na lengo Mahususi la kuweza kuhudumia watu mbalimbali Katika huduma za kilimo huku washiriki kutoka Burundi wameweza kushiriki Katika mafunzo hayo yaliyoandaliwa na Benki ya kilimo kwa kushirikiana na Benki mbalimbali nchini. […]

BIASHARA, KITAIFA
May 03, 2024
272 views 11 secs 0

SILINDE:TUNAONYESHA UMMA MABADILIKO CHANYA AMBAYO WIZARA IMEKUWA IKIYAFANYA KATIKA SEKTA YA KILIMO

JIJINI DODOMA Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. David Silinde (Mb) amesema lengo la Wizara kuweka maonyesho katika viwanja vya Bunge ni kuonesha Umma mabadiliko chanya ambayo  Wizara imekuwa ikiyafanya katika Sekta ya Kilimo kuanzia katika ngazi ya tafiti mpaka katika ngazi ya uwekezaji ya kuongeza thamani ya mazao. “Tunaonesha watu namna ambavyo tunaendesha Sekta ya […]