9 views 37 secs 0 comments

WANANCHI GAIRO WAMSHUKURU RAIS SAMIA KUPIKA KIJANJA

In KITAIFA
April 22, 2025



๐Ÿ“ŒNi kupitia ruzuku ya bei mitungi ya gesi ya kupikia

๐Ÿ“ŒGairo yahamasika na nishati safi

Wananchi Mkoani Morogoro wamempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan  kwa kuibeba ajenda ya nishati safi ya kupikia ili kukuza uchumi wa watazania.

Pongezi hizo zimetolewa na wananchi wa wilaya ya Gairo kwa wataalam wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) wakati wakitoa elimu na kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia mkoani Morogoro.

/ Published posts: 1941

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge

Twitter
Youtube
Instagram