13 views 20 secs 0 comments

PICHA MBALIMBALI ZA MATUKIO YA MKUTANO WA MAAFISA UTAMADUNI NA MAAFISA MAENDELEO YA MICHEZO TANZANIA

In KITAIFA
April 22, 2025

Wageni mbalimbali ambao wameshiriki Kikao kazi cha Maafisa Utamaduni na Maafisa Maendeleo ya Michezo Tanzania wakisikiliza mada kuhusu mmong’onyoko wa maadili katika Kikao kazi cha 15 kinachofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es Salaam leo Aprili 22, 2025.

/ Published posts: 1938

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge

Twitter
Youtube
Instagram