12 views 16 secs 0 comments

ETDCO yashiriki Maadhimisho ya Siku ya wanawake duniani

In KITAIFA
March 10, 2025

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA

Wafanyakazi wa Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme ( ETDCO) wameshiriki sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani zilizofanyika Kitaifa jijini Arusha.

/ Published posts: 1801

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge

Twitter
Youtube
Instagram