9 views 33 secs 0 comments

SUMAYE AMTEMBELEA WASIRA KATIKA OFISI NDOGO ZA CCM ZILIPO LUMUMBA

In KITAIFA
February 25, 2025

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA

*Makamu Mwenyekitiย  wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) – Bara, Ndg. Stephen Wasiraย  akiwa kwenye mazungumzo na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mstaafu, Mhe. Frederick Tluway Sumaye, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, jijini Dar Es Salaam, baada ya kiongozi huyo, ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM mstaafu, kumtembelea ofisini kwake, leo Jumanne tarehe 25 Februari 2025.*

/ Published posts: 1749

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge

Twitter
Youtube
Instagram