6 views 25 secs 0 comments

EWURA YATANGAZA BEI KIKOMO ZA BIDHAA ZA MAFUTA YA PETROLI

In BIASHARA
February 05, 2025

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA

TAARIFA:  EWURA inatangaza Bei Kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli zitakazotumika hapa nchini kuanzia Jumatano ya tarehe  5 Februari, 2025, saa 6:01 usiku.

Wafanyabiashara wa rejareja na jumla  wanatakiwa kuuza mafuta kwa bei zilizoidhinishwa na EWURA pekee na yeyote atakayekiuka AGIZO hili atachukuliwa hatua kali kwa mujibu  wa sheria.

/ Published posts: 1701

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge

Twitter
Youtube
Instagram