56 views 42 secs 0 comments

WAZIRI WA ZIMBABWE MHE.CHADZAMIRA AVUTIWA NA BANDA LA OFISI YA WAZIRI MKUU

In KITAIFA
July 06, 2024

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA

Waziri wa Nchi anayeshughulikia masuala ya Mikoa na Ugatuzi kutoka nchini Zimbawe, Mheshimiwa Ezra Chadzamira ametembelea banda Jumuishi la Ofisi ya Waziri Mkuu na Taasisi zilizochini yake na kueleza kuwa Tanzania na Zimbabwe zitaendelea kuimarisha ushirikiano katika masuala mbalimbali ikiwemo sekta ya kilimo na uvuvi.


Ametembelea banda hilo tarehe 06 Julai, 2024 wakati wa Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) yanayoendelea katika Uwanja wa Sabasaba jijini Dar es salaam.
Maonesho hayo yamebebwa na kaulimbiu: โ€œTanzania Mahaliย  Sahihi Pa Biashara na Uwekezajiโ€.

/ Published posts: 1214

Ukurusa rasmi wa gazeti la Wamachinga. #sautiyawanyonge

Twitter
Youtube
Instagram